Omuchimati
JF-Expert Member
- Aug 23, 2014
- 427
- 202
SALAMU,
Salamu kwa wanablog wote ulimwenguni hizi ni salamu zangu nazitoa kwa unyenykevu wa hali ya juu, na kwa mapenzi mema kabisa kwenu ninyi wana blog wenzangu wenye mtizamo chanya wa maisha ya sasa na yajayo.
Awali ya yote namshukuru MUNGU muumba nchi na ulimwengu pamoja na miiisho yote ya dunia yeye ndiye tumaini letu katika kila jambo , tuiwapo na raha au shinda sifa huwa zinamwendea yeye kwani yeye ndiye mwanzo na mwisho yaani ALFA NA OMEGA, na pasipo yeye pasingalikuwapo kitu.
Ndugu zangu Watanzania nadhani wote tunamfahamu vizuri ndugu yetu NGOYAYI LOWASSA,sipendi sana kuongelea historia yake maana kila mmoja wetu anayo historia iliojaa mema na mabaya, inategemea tu kiwango cha mema au mabaya ambayo historia yako imebeba kwa hiyo sipo hapa kuelezea mema aua mabaya ya MHE EDWARD NGOYAI LOWASSA,
Mada yangu itajikita zaidi kwenye kichwa cha habari hapoa juu, ni nini kanuni za maisha (principals of life) The laws of nature, Ukisoma Biblia yako au quran tukufu inaonesha kuwa mwanadamu alipoumbwa aliwekwa Eden MUNGU akamwambia mwanandamu ailime na kuitunza bustani hiyo,wakati huo mwanandamu alikuwa hajamwasi MUNGU,kwahiyo naamini kabisa kama mwanandamu angeendelea kuishi maisha yale ya kumhemshimu MWENYEZI MUNGU,asingekula kwa taabu wala kuzaa kwa uchungu,
Baada ya mwanandamu kumuasi MUNGU kwa kisingizio kuwa mwanamke aliyepewa ndie kasababisha anguko lake MUNGU aliweka Principals(kanuni) za mmwanandamu za namna ya kuishi zinazoendanadana na kanuni ya asili (THE LAW OF NATURE)kutokana na lile anguko la mwanadamu pale EDEN,kwamba itabidi ufanye kazi kwa bidii ili upate kipato chako haijalishi umezaliwa katika mzingira gani,usipofanya kazi kwa bidii huwezi kufanikiwa hata ukiwekewa mamilioni ya pesa mlangoni kwako,utaugua na itafika wakati utakufa,utazaa kwa uchungu.
MHE EDWARD NGOYAI LOWASSA anakiuka misingi asili alioweka MUNGU kwa kuwarubuni wanandamu wa Tanzania kuwa yeye anao uwezo wa kuwafanya wawe matajiri pasipo kufanya kazi wala kujituma,
Amekuja kuharibu kanuni za maisha kama vile shetani alivyomshukia Hawa pale EDEN na kumwambia kuwa kama angekula lile tunda angefanana na MUNGU,LOWASSA anawaambia Watanzania kuwa yeye anao uwezo wa kuondoa umaskini na kumfanya kila mmoja wa watanzania awe kama Bakheresa hyo ni nchi ya namna gani?
Ushauri wangu kwa Watanzania tumieni hekima na akili kuamua mambo yenu.
Salamu kwa wanablog wote ulimwenguni hizi ni salamu zangu nazitoa kwa unyenykevu wa hali ya juu, na kwa mapenzi mema kabisa kwenu ninyi wana blog wenzangu wenye mtizamo chanya wa maisha ya sasa na yajayo.
Awali ya yote namshukuru MUNGU muumba nchi na ulimwengu pamoja na miiisho yote ya dunia yeye ndiye tumaini letu katika kila jambo , tuiwapo na raha au shinda sifa huwa zinamwendea yeye kwani yeye ndiye mwanzo na mwisho yaani ALFA NA OMEGA, na pasipo yeye pasingalikuwapo kitu.
Ndugu zangu Watanzania nadhani wote tunamfahamu vizuri ndugu yetu NGOYAYI LOWASSA,sipendi sana kuongelea historia yake maana kila mmoja wetu anayo historia iliojaa mema na mabaya, inategemea tu kiwango cha mema au mabaya ambayo historia yako imebeba kwa hiyo sipo hapa kuelezea mema aua mabaya ya MHE EDWARD NGOYAI LOWASSA,
Mada yangu itajikita zaidi kwenye kichwa cha habari hapoa juu, ni nini kanuni za maisha (principals of life) The laws of nature, Ukisoma Biblia yako au quran tukufu inaonesha kuwa mwanadamu alipoumbwa aliwekwa Eden MUNGU akamwambia mwanandamu ailime na kuitunza bustani hiyo,wakati huo mwanandamu alikuwa hajamwasi MUNGU,kwahiyo naamini kabisa kama mwanandamu angeendelea kuishi maisha yale ya kumhemshimu MWENYEZI MUNGU,asingekula kwa taabu wala kuzaa kwa uchungu,
Baada ya mwanandamu kumuasi MUNGU kwa kisingizio kuwa mwanamke aliyepewa ndie kasababisha anguko lake MUNGU aliweka Principals(kanuni) za mmwanandamu za namna ya kuishi zinazoendanadana na kanuni ya asili (THE LAW OF NATURE)kutokana na lile anguko la mwanadamu pale EDEN,kwamba itabidi ufanye kazi kwa bidii ili upate kipato chako haijalishi umezaliwa katika mzingira gani,usipofanya kazi kwa bidii huwezi kufanikiwa hata ukiwekewa mamilioni ya pesa mlangoni kwako,utaugua na itafika wakati utakufa,utazaa kwa uchungu.
MHE EDWARD NGOYAI LOWASSA anakiuka misingi asili alioweka MUNGU kwa kuwarubuni wanandamu wa Tanzania kuwa yeye anao uwezo wa kuwafanya wawe matajiri pasipo kufanya kazi wala kujituma,
Amekuja kuharibu kanuni za maisha kama vile shetani alivyomshukia Hawa pale EDEN na kumwambia kuwa kama angekula lile tunda angefanana na MUNGU,LOWASSA anawaambia Watanzania kuwa yeye anao uwezo wa kuondoa umaskini na kumfanya kila mmoja wa watanzania awe kama Bakheresa hyo ni nchi ya namna gani?
Ushauri wangu kwa Watanzania tumieni hekima na akili kuamua mambo yenu.