Namshauri lowasa akate rufaa haraka sana. Kwani walishamkata tangu jana. Na wameondoka na jina la augustino ramadhan kuwa ndio rais. Na hiyo hivyo vikao ni danganya toto tu kwan mgombea wanae. Lowasa lijue hilo mapema. Lakin sisi tunamtaka lowasa kama wao wana mtu wao basi wabaki na chama chao na mtu wao na sisi na mtu wetu lowasa tutajua la kufanya.
chukueni lowasa wenu na pelekeni mnapotaka kwenda nae,
lakini jua kuwa Ramadhani wala hawezi pitishwa na ccm maana majina matatu ndo yanapitishwa na kwenda kupigiwa kura kama haujui kitu bora ukae kimia,maana mnaboa juzi mumemzushia makongoro kuwa kakamatwa na rushwa kumbe uongo nyie vipi?