Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

Wanajukwaa!!!
Macho na masikio ya watanzania walio wengi yameelekezwa Dodoma ambapo CCM, Chama kikubwa na kikongwe kabisa hapa nchini na Afrika kwa ujumla kipo katika mchakato wa kumpata mtu wa kupeperusha bendera katika kumrithi Mhe Jakaya Kikwete.

Chambuzi nyingi za siasa kuelekea Magogoni 2015 zimekuwa zikiangaza nani atapitishwa na Chama, uimara wake na udhaifu wake.

Wapo wanaochambua kwa mapenzi, chuki, kutokujua na wengine kwa utaalamu wa hali ya juu.

Mimi kama mchambuzi wa siasa hesabu zangu zinanielekeza kuwa Mhe Edward Lowassa ana nafasi kubwa ya kuibuka mshindi akiwa ndani ya CCM na hata akiwa nje ya CCM.

Matokeo ya uchambuzi wangu hadi kufikia hitimisho kuwa Lowassa ana nafasi kubwa ni baada ya tafakuri ya kina ya mwenendo wa kisiasa tangu mwaka 2005 hadi sasa.

Mwaka 2005, Mhe Kikwete wa CCM alipata zaidi ya 80% ya kura zote na hivyo kuonesha namna gani wananchi walivyokuwa na kiu na imani kubwa kwa Kikwete binafsi na hata CCM kwa ujumla.

Miaka mitano (05) baadaye Mhe Kikwete aliporomoka kwa karibu 20% na hivyo kuambulia kura 5,276,827 sasa na 61.17% ya kura zote. Wapinzani kwa upande wao tunaona Chadema walipata kura 2,271,941; CUF kura 695,667 na NCCR kura 26,388 (hawa ndio UKAWA)

Sasa, tuangalie hesabu za Sayansi ya Siasa vipi zinambeba Lowassa ikiwa atakatwa jina lake na kuamua kuhamia katika mwamvuli wa UKAWA na wenye UKAWA wakampokea??

Kwanza, wakati wakiwa katika zoezi la kutafuta wadhamini Lowassa alijipatia jumla ya wadhamini 874,297 ambao tunaamini kuwa wapo tayari kumpigia kura popote atakapokuwa. Na iwapo kila mdhamini atashawishi watu watatu (03) ni kwamba Lowassa atakuwa na mtaji wa watu 2,532,891.

Sasa (wadhamini x 3)+(mtaji wa UKAWA 2010) =Kura kibindoni

2,532,297 + 2,993,996 = 5,526,293

Kwa hiyo, kama ataingia na mtaji huo katika uchaguzi mkuu atakuwa amebakiza kazi ndogo tu ya kushawishi undecided group na kwa kuzingatia kundi kubwa la vijana ambao hawakuweza kupiga kura 2010 kutokana na kuwa na umri chini ya miaka 18, ambao hakuna ubishi kuwa wengi ni wafuasi wa vyama vya upinzani na hivyo watampa kura mgombea wa Upinzani, ni dhahiri kuwa Lowassa ana nafasi kubwa ya kushinda ikiwa atagombea kupitia CCM au atapitia Muungano wa UKAWA.

Hizo ni hesabu zangu nikiwa mchambuzi huru.

Hongera kwa kufanya utafiti wazi wa kisayansi. Kuna sehemu inahitaji kuniwekea sawa. Mantiki ya kujumlisha na kura za ukawa
 
Hesabu zingine hizi hapa,

Lowassa naurais
Ndani ya CCMkuna udicteta ndani ya democrasi ya kwao,kuna chombo kinaitwa kamati kuu(CC)chombo hiki kina maamuzi mkubwa ambayo hayaruhusiwi kukatiwa rufaamahakamani,Lowassa alilaaniwa na Nyerere kila mtu anajua kwamba hafai kuwa Raiswa Tanzania kwa ajili alijilimpikizia mali,Mangula aliitwa kwenye chama tokakijijini kwake Mtwango alikokuwa analima viazi akawa makamo wa mwenyekiti nakuwa mjumbe wa CC kwa mjibu wa wadhifa wake, aliitwa aingie kwenye chombo hichokwa kazi moja tu, KULIPIGA LULA JINA LA LOWASSA PINDI WAKIANZA KUWAJADILIWAGOMBEA WATAOCHUKUA FORM KWA TIKITI YA CCM, hiyo ni moja.
Pili raismwenyewe majuzi alisema atapenda amwachie urais kijana,siyo mzee kama yeye
Kwa mantikihiyo Lowassa hawezi kuwa rais wa inchi hii
Mwisho Lowassaanautaka urais kwa udi na uvumba hivi anataka afanye nao nini?
 
lowasa kuwa rais bora tumpe mzanzibar japo najua ni kazi ngumu sana kumuuza tanzania.
 
Hongera kwa kufanya utafiti wazi wa kisayansi. Kuna sehemu inahitaji kuniwekea sawa. Mantiki ya kujumlisha na kura za ukawa
Nimeweka kura za UKAWA, iwapo jina lake litakatwa na CCM na iwapo ataamua kukimbilia katika mwavuli wa UKAWA
 
Hayati Moringe Sokoine alimuamini ndugu yake Lowassa na ndio maana akampeleka akapigane Vita vya Idd Amin akiwa kati ya wasomi vijana toka Chuo Kikuu Dar-es-salaam, na baada ya vita kapelekwa na Nyerere UK kusomea Uchumi.

LOWASSA NA AWAMU ZOTE 4

Awamu ya 1: Imani juu ya Lowassa ipo pale pale kwa Nyerere alipomteua Katibu katika taasisi nyingi za Serikali japo alikuwa mdogo sana kiumri.

Awamu ya 2: Mzee Mwinyi alimuamini sana Lowassa na kumteuwa Mkurugenzi wa AICC japo alikuwa kijana mdogo, na pia kumpeleka katika Baraza la Mawaziri.

Awamu ya 3: Mzee Mkapa alimuamini sana Lowassa, alimpa Wizara zinazohitaji uchapaji kazi wa hali ya juu na uzalendo ulio tukuka.

Awamu ya 4: Prof Jakaya Kikwete kwa zaidi ilidhihirika imani juu ya umakini na utendaji wa Lowassa, kwani alimpa Uwaziri Mkuu wa Tanzania na hadi sasa Serikali nzima bado ina imani kubwa kwani yeye ndie Mwenyekiti katika Bunge Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama.

CCM: Wadhamini aliowapata Lowassa peke yake ni zaidi ya 90% ya wagombea wengine wote wa CCM.

ZANZIBAR: Sultani wa Pemba Maalim Seif pamoja kuwa ni Kiongozi wa CUF lakini aliwataka Wapemba wachukue haraka Kadi za CCM ili Lowassa apate udhamini wa kutosha Pemba, na kweli Lowassa pekee alipata Wadhamini 450 ndani ya nusu saa, wengine walisota siku kibao na kuondoka bila udhamini.

Baada ya hayo, sisi Wananchi sasa ni zamu yetu, tuleteeni Lowassa tumpe kura za Watanzania wote hadi upinzani.

By Sipano Kilimanjaro
Kiwengwa Zanzibar
 
Hesabu zingine hizi hapa,

Lowassa naurais
Ndani ya CCMkuna udicteta ndani ya democrasi ya kwao,kuna chombo kinaitwa kamati kuu(CC)chombo hiki kina maamuzi mkubwa ambayo hayaruhusiwi kukatiwa rufaamahakamani,Lowassa alilaaniwa na Nyerere kila mtu anajua kwamba hafai kuwa Raiswa Tanzania kwa ajili alijilimpikizia mali,Mangula aliitwa kwenye chama tokakijijini kwake Mtwango alikokuwa analima viazi akawa makamo wa mwenyekiti nakuwa mjumbe wa CC kwa mjibu wa wadhifa wake, aliitwa aingie kwenye chombo hichokwa kazi moja tu, KULIPIGA LULA JINA LA LOWASSA PINDI WAKIANZA KUWAJADILIWAGOMBEA WATAOCHUKUA FORM KWA TIKITI YA CCM, hiyo ni moja.
Pili raismwenyewe majuzi alisema atapenda amwachie urais kijana,siyo mzee kama yeye
Kwa mantikihiyo Lowassa hawezi kuwa rais wa inchi hii
Mwisho Lowassaanautaka urais kwa udi na uvumba hivi anataka afanye nao nini?
Nimeuona uchambuzi wako. Nauheshimu sana
 
Ungejua kilichocjiri kwenye baraza la wazee ungesikitika sana,kule mwenyekiti alikuwa mzee Mwinyi ila mzee Mkapa alikitawala kikao kiasi kwamba akawa kama ndiye mwenyekiti,kwa ujumla Lowassa ameishakatwa,na wazee wamewapendekeza Sumaye na Magufuli,kwa mawazo yao ni kwamba litengenezwe zengwe ili Jaji Agustino awe rais,Sumaye makamu na Magufuli waziri mkuu,ndiyo mpango wa Mkapa huo.
 
Hesabu zingine hizi hapa:-

Lowassa,Lowassa hadi kero Kila kukicha Lowassa, Lowassa, oooo mtu mawazo yake binafsi tu anakuja na kusema ametumwa na wanainchi katika eneo lake mfano mkoa au kanda amshauri lowassa agombee Urais.

Lowassa jamani hafai, mtu anayejitajirisha kwa kutumia wadhifa wake katika utumishi wa umma hafai kuwa kiongozi kwa sababu siyo mfano wa kuigwa, yaani kuiba mali za umma siyo sifa ambayo inafaa mtu mwingine aige.

Lowassa kuwa kiongozi wa ofisi ya juu kutavutia wezi wenzie kuinajisi ofisi hiyo, yaani kama ukifuga fisi tegemea fisi wenzie kumtembelea fisi mwenzao hawezi kutembelewa na swala.Jamani Lowassa hafaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.

Kikwete, Mangula hebu mwambieni huyo mtu kwamba hana sifa za kiti cha urais, anaweza mambo mengine na siyo urais, ni nyie mnamlealea mnamchelewesha mpeni makavu ya moja kwa moja na wala siyo mafumbo mafumbo

CC. 1. Jajaya Mrisho Kikwete
2. Jack Zoka
3. Philip Mangula
4. Abdrahiman Kinana
5. Benjamin Mkapa- Uliwakemea maaskofu ukasema na majoho yao haiwezekani serikali tatu kwa sababu baba wa taifa alikataza mbona Lowassa humkemei? Mnafiki mkubwa wee.
6. Ali Hassan Mwinyi
7. Nape Nnawiye
8. Delvis Adolf Mwamunyange
9. Ernest Hamis Mangu
10. John Komba-na unafiki wako, kama Lulu Michael kakukomba mali zote usitegemee uibukie katika kumpigia dabe fisadi Lowassa, kufa na lywako
11. Rostam Azizi –ikulu siyo pango la walanguzi unatumia mapesa yako ya wizi ili umweke Lowasaa ikulu ili uwe ndio uchochoro wako
 
Wanajukwaa!!!
Macho na masikio ya watanzania walio wengi yameelekezwa Dodoma ambapo CCM, Chama kikubwa na kikongwe kabisa hapa nchini na Afrika kwa ujumla kipo katika mchakato wa kumpata mtu wa kupeperusha bendera katika kumrithi Mhe Jakaya Kikwete.

Chambuzi nyingi za siasa kuelekea Magogoni 2015 zimekuwa zikiangaza nani atapitishwa na Chama, uimara wake na udhaifu wake.

Wapo wanaochambua kwa mapenzi, chuki, kutokujua na wengine kwa utaalamu wa hali ya juu.

Mimi kama mchambuzi wa siasa hesabu zangu zinanielekeza kuwa Mhe Edward Lowassa ana nafasi kubwa ya kuibuka mshindi akiwa ndani ya CCM na hata akiwa nje ya CCM.

Matokeo ya uchambuzi wangu hadi kufikia hitimisho kuwa Lowassa ana nafasi kubwa ni baada ya tafakuri ya kina ya mwenendo wa kisiasa tangu mwaka 2005 hadi sasa.

Mwaka 2005, Mhe Kikwete wa CCM alipata zaidi ya 80% ya kura zote na hivyo kuonesha namna gani wananchi walivyokuwa na kiu na imani kubwa kwa Kikwete binafsi na hata CCM kwa ujumla.

Miaka mitano (05) baadaye Mhe Kikwete aliporomoka kwa karibu 20% na hivyo kuambulia kura 5,276,827 sasa na 61.17% ya kura zote. Wapinzani kwa upande wao tunaona Chadema walipata kura 2,271,941; CUF kura 695,667 na NCCR kura 26,388 (hawa ndio UKAWA)

Sasa, tuangalie hesabu za Sayansi ya Siasa vipi zinambeba Lowassa ikiwa atakatwa jina lake na kuamua kuhamia katika mwamvuli wa UKAWA na wenye UKAWA wakampokea??

Kwanza, wakati wakiwa katika zoezi la kutafuta wadhamini Lowassa alijipatia jumla ya wadhamini 874,297 ambao tunaamini kuwa wapo tayari kumpigia kura popote atakapokuwa. Na iwapo kila mdhamini atashawishi watu watatu (03) ni kwamba Lowassa atakuwa na mtaji wa watu 2,532,891.

Sasa (wadhamini x 3)+(mtaji wa UKAWA 2010) =Kura kibindoni

2,532,297 + 2,993,996 = 5,526,293

Kwa hiyo, kama ataingia na mtaji huo katika uchaguzi mkuu atakuwa amebakiza kazi ndogo tu ya kushawishi undecided group na kwa kuzingatia kundi kubwa la vijana ambao hawakuweza kupiga kura 2010 kutokana na kuwa na umri chini ya miaka 18, ambao hakuna ubishi kuwa wengi ni wafuasi wa vyama vya upinzani na hivyo watampa kura mgombea wa Upinzani, ni dhahiri kuwa Lowassa ana nafasi kubwa ya kushinda ikiwa atagombea kupitia CCM au atapitia Muungano wa UKAWA.

Hizo ni hesabu zangu nikiwa mchambuzi huru.
Hizi Hesabu za wapi tena?
(1.)Naona umechukulia hakuna mabadiriko ya wapiga kura(hakuna vifo hakuna wapiga kura wapya hakuna ambao hawatapiga kura kwa sababu moja au nyingine)
(2.)Kwa nn umejumlisha idadi ya kura za upinzani ina maana upinzani una msupport jamaa?
ILA HONGERENI KWA MATUMAINI.
 
Angalia hesabu hizi

Kigezo

[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Jaji Agustino Ramadhani
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Edward Ngoyayi Lowassa
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Umri
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Miaka 70
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] 62
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Elimu
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Ni ya juu ngazi ya shahada ya sheria
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Elimu ya juu ngazi ya shahada
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Uzoefu wa kazi
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Amebobea kwenye mhimili wa dola upande wa mahakama
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Amebobea kwenye mhimili wa dola upande wa serikali na bunge
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Uadirifu
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Hakuna mashaka yoyote kuhusu uadirifu wake
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Kuna mashaka mengi sana kuhusu suala la uadirifu
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Kazi alizofanya
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Jaji, mwanajeshi, mchungaji
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Kichunga ng`ombe, katibu wa chama, mkurugenzi IACC, mbunge, waziri, waziri mkuu.
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Historia kazini
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Amefanya kazi serikalini hadi amestaafu kwa mjibu wa sheria
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Alijihudhuru uwaziri mkuu kwa tuhuma ya kuipa tenda ya kufua umeme na kuiuzia Tanesco kampuni ya richmond ambayo haikuwa na sifa
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Kugombea urais
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Hajawahi kugombea labda hii itakuwa ni mala ya kwanza
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Aligombea mwaka 1995 jina lilikatwa kwa kukosa sifa
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Hali ya kugombea urais iliyopo hivi sasa
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Ameombwa agombee tena ameombwa sana
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Alianza mda mrefu kuonyesha nia ya kugombea urais, kuna mashaka mengi anahonga, ananunua makundi ili yamuunge mkono
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Afya
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Afya yake ni imala sana
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Afya ni mgogoro mala nyingi huendaUgermani kupima afya, mala kadhaa huwa na kitetemeshi hasa asubuhi, hana uwezo wa kuhimili mikikimikiki kwa mda mrefu
[/TD]
EL alikuwa mwanajeshi pia
 
TAARIFA KWA 4U MOVEMENT DODOMA.

Habari, Wana 4u movement mliopo Dodoma na Watanzania wote wenye mapenzi mema na Edward Lowassa tunawaasa kutovaa T-shirt zozote za 4u movement au zenye jina la Edward Lowassa katika kipindi chote cha mikutano ya Chama.

Najua na kutambua hadi jana tarehe 07/07/2015 zaidi ya wana 4u movement 3600+ plus wamewasili Dodoma lakini wingi wetu usiwe sehemu ya kuwa chanzo cha vurugu ya Aina yeyote.

Tuna Taarifa za kuaminika kuna watu wenye mpango wa kutumia T-shirt zetu za 4u movement kufanya vurugu ndani ya Mji wa Dodoma kwa makusudi ili kuiondelea sifa ya utulivu na umakini wa Movement yetu. Yeyote atakae husika kufanya fujo au vurugu zozote kwa Makusudi huku akitumia jina letu tutakuwa msatari wa Mbele kumshughulikia.

Tunawaasa na kuwaomba wana 4umvt na Watanzania wote kuwa watulivu na wavumilivu na kuwapa nafasi Wajumbe wote wa vikao vya Maamuzi kwa kutii na kufuata kanuni za chama kufanya maamuzi kwa Utulivu maana ule wakati mabadiliko uliotabiriwa na Baba wa Taifa kuwa ukifika Basi mabadiliko tutayapata ndani ya CCM na tukikosa tutayapata nje ya ccm lakini ipo nafasi kubwa sana ya kuyapata Mabadiliko haya ndani ya CCM chini ya Balozi wetu wa 4u movement Mh Edward Lowassa.

Ahsanteni

Hemedy Ally
Mratibu Taifa (National Coordinator)
@4u movement
# UTUMISHI
# UWAJIBIKAJI
# UMOJA
# UZALENDO
 
Mkitokea na mchapwe tu maana hakuna namna ya kumsaidia mtu mjinga
 
Hizi Hesabu za wapi tena?
(1.)Naona umechukulia hakuna mabadiriko ya wapiga kura(hakuna vifo hakuna wapiga kura wapya hakuna ambao hawatapiga kura kwa sababu moja au nyingine)
(2.)Kwa nn umejumlisha idadi ya kura za upinzani ina maana upinzani una msupport jamaa?
ILA HONGERENI KWA MATUMAINI.

Mabadiliko yapo, vifo vipo pia. Ila katika hesabu za kisiasa hivyo vitu huviangalii sana kwa kuwa wanaokufa na wanaozaliwa hawaathiri upande mmoja. Wanakufa wa CCM na Wanakufa wa UKAWA. Wanakufa supporters wa Lowassa na wa wapinzani wake pia Wanakufa.
 
Back
Top Bottom