Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,621
- 4,317
Akifanya hivyo CCM itamfia, sijui ataficha wapi USO wake
Na asipofanya hivyo itakuwa ni kwa vigezo vipi? jiandaeni kisaikolojia.
Akifanya hivyo CCM itamfia, sijui ataficha wapi USO wake
kwa hiyo mafisadi kukingiana vifua ndo wamekutuma utuambie au.Kwa habari zi sizo rasimi M/kiti ameonekana mkingia kifua Edward Lowassa wale waliokuwa wakisema kwa dhiaka juu ya EL nasikia wameufyata!hili hali M/kiti akiwa mbogo kwa kila mtu!
Waliotegemea kumchekea waishia kununa!
kwa hiyo mafisadi kukingiana vifua ndo wamekutuma utuambie au.
Akifanya hivyo CCM itamfia, sijui ataficha wapi USO wake
hivi bado jina la lowasa halijakatwa bado
Mh JK ni mpenda haki na anajua Lowassa ana uwezo mkubwa ktk uongoz so hawez kufanya ujinga wa kumkata Lowassa
Lowassa ndiye chaguo letu.
Thubutuu......!!
Tanzania bila Lowassa haiwezekani.