Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

Haha, ukawa wanasali asipite akipita ukawa hawana chao. Watz ni noma wanasahau mapema kila kona lowasa kila sehemu ni lowasa tu
 
Katika pitapita yangu mitaa ya mjini jana wakat msanii anasindikizwa uwanja wa ndege kuelekea dodoma yupo jamaa ni mfanyabiashara wa madini alituelezea kuwa jina la LOWASA limeshakatwa na wameamua kumpa AUGUSTINE RAMADHANI.

Haikuniingia akilini kama ccm na utashi wao wakamuacha mtu anayependwa na wananchi, nikawaza neno moja tu kumuomba Mungu afanye muujiza wake pale kikwete atakaposimama na kutaka kutangaza ataje jina la LOWASA kama atatamka vinginevyo namuomba sana LOWASA ajiunge na chama chochote wananchi tumpe nchi.

Nayasema haya kwa sababu ukiangalia sehemu zote ccm ilipopigwa,iwe kwa mwenyekiti wa mtaa, diwani au mbunge ni pale walipomkataa anayetakiwa na wananchi na kumuingiza asiyetakiwa, na katka hili wakikata jina la LOWASA, LOWASA aingie chama chochote achukue nchi.
 
Haha, ukawa wanasali asipite akipita ukawa hawana chao. Watz ni noma wanasahau mapema kila kona lowasa kila sehemu ni lowasa tu
nani ka kwambia..fisadi huyo tutamchapa asb tu......eti anadai ushaidi si akamdai mwakyembe na mbunge.
 
Aisee....kwa nini EL apewe nchi? mapenzi haya jamani kipofu...hata njia hayaoni lakini "nakupenda tu" kazi mwaka huu ipo
 
Katika pitapita yangu mitaa ya mjini jana wakat msanii anasindikizwa uwanja wa ndege kuelekea dodoma yupo jamaa ni mfanyabiashara wa madini alituelezea kuwa jina la LOWASA limeshakatwa na wameamua kumpa AUGUSTINE RAMADHANI.

Haikuniingia akilini kama ccm na utashi wao wakamuacha mtu anayependwa na wananchi, nikawaza neno moja tu kumuomba Mungu afanye muujiza wake pale kikwete atakaposimama na kutaka kutangaza ataje jina la LOWASA kama atatamka vinginevyo namuomba sana LOWASA ajiunge na chama chochote wananchi tumpe nchi.

Nayasema haya kwa sababu ukiangalia sehemu zote ccm ilipopigwa,iwe kwa mwenyekiti wa mtaa, diwani au mbunge ni pale walipomkataa anayetakiwa na wananchi na kumuingiza asiyetakiwa, na katka hili wakikata jina la LOWASA, LOWASA aingie chama chochote achukue nchi.
Lowassa ni fisadi ama kwa kuchukua au kutokujua akiwa ktk ofisi ya umma alibariki ufisadi wa richmond...asituombe sisi rais ushaidi bali amwombe mwakyembe na awaombe bunge
 
Katika pitapita yangu mitaa ya mjini jana wakat msanii anasindikizwa uwanja wa ndege kuelekea dodoma yupo jamaa ni mfanyabiashara wa madini alituelezea kuwa jina la LOWASA limeshakatwa na wameamua kumpa AUGUSTINE RAMADHANI.

Haikuniingia akilini kama ccm na utashi wao wakamuacha mtu anayependwa na wananchi, nikawaza neno moja tu kumuomba Mungu afanye muujiza wake pale kikwete atakaposimama na kutaka kutangaza ataje jina la LOWASA kama atatamka vinginevyo namuomba sana LOWASA ajiunge na chama chochote wananchi tumpe nchi.

Nayasema haya kwa sababu ukiangalia sehemu zote ccm ilipopigwa,iwe kwa mwenyekiti wa mtaa, diwani au mbunge ni pale walipomkataa anayetakiwa na wananchi na kumuingiza asiyetakiwa, na katka hili wakikata jina la LOWASA, LOWASA aingie chama chochote achukue nchi.
Aliekudanganya watu wanampenda Lowasa ni nani. Watu wanafuata hela yake na wengine wanaenda kumshangaa - get out of box
 
kwa haya
1,wizi
2,kunyonyoa watu ngozi
3,fitina zidi ya wanachama
4,mitandao ya wezi
4,visasi
5,rushwa
sio tanzania ya nyerere ,labda akawe rais wa kuzimu.
 
Sisi tujadili anakatwa au akatwi...kenya wameleta reli za mwendo kasi huko...
 
Nchi haiwezi kuatwaliwa na raisi fisadi kabisa na ikabaki salama..... itakuwa laana! aende akachunge ng'ombe kwenye ranch za taifa alizoziiba!!
 
Aliekudanganya watu wanampenda Lowasa ni nani. Watu wanafuata hela yake na wengine wanaenda kumshangaa - get out of box


Lowasa anapendwa na watanzania..watanzania wa leo sio wale wa nyerere..wanaelewa kuwa hizo tuhuma ni fitina na ulafi wa madaraka kwa wasioitakia mema nchi yetu.watch out.
 
Namshauri lowasa akate rufaa haraka sana. Kwani walishamkata tangu jana. Na wameondoka na jina la augustino ramadhan kuwa ndio rais. Na hiyo hivyo vikao ni danganya toto tu kwan mgombea wanae. Lowasa lijue hilo mapema. Lakin sisi tunamtaka lowasa kama wao wana mtu wao basi wabaki na chama chao na mtu wao na sisi na mtu wetu lowasa tutajua la kufanya.
 
Huo wizi kakuibia mkeo? Ebu tuambie lowasa kaiba nini na lini.

kamahaujui kaa kimia
  • aliiba hera akiwa mkurugenzi wa afrika na mashariki ikitu ambacho yerere alimwambia wazi kuwa ni mwizi na utajiri wake haueleweki
  • ,milion 300 akiwa waziri mkuu alipokuwa anajenga nyumba ya mbunge jimboni kwake,aliposhinikiza tamisemi kutoa hera zaidi ya zile zilizopangwa na bunge 45 kwa kila jimbo
naishia hapo kama haujui kaa kimia,
 
Mleta hoja umeingia na mguu mbaya asubuhi hii........hao wananchi wengi unaosema wanampenda Lowasa mbona wengine hatuwaoni?
 
TAARIFA KWA 4U MOVEMENT DODOMA.




Hemedy Ally
Mratibu Taifa (National Coordinator)
@4u movement
# UTUMISHI
# UWAJIBIKAJI
# UMOJA
# UZALENDO

#UADILIFU mmekwepa kabisa kumbe kwisha jua boss wenu uadilifu ni msamiati mgumu sana.
 
Namshauri lowasa akate rufaa haraka sana. Kwani walishamkata tangu jana. Na wameondoka na jina la augustino ramadhan kuwa ndio rais. Na hiyo hivyo vikao ni danganya toto tu kwan mgombea wanae. Lowasa lijue hilo mapema. Lakin sisi tunamtaka lowasa kama wao wana mtu wao basi wabaki na chama chao na mtu wao na sisi na mtu wetu lowasa tutajua la kufanya.


Umeongea mkuu..lowasa ndiye chaguo la watanzania..hilo chaguo lao wapeleke hukooo..
 
Back
Top Bottom