Edward Lowassa special thread


Wewe ni mpuuzi,mjinga,mpumbavu ambaye sijawaji kumwona duniani.mipango mpange nyinyi na tena lowasa wenu ameshasema hatishwi na chama sasa unataka kupofusha watu na mikakati yenu.tunajua mipango yenu ya uhaini ndani ya chama maana mmejiapiza lazima muwe nyinyi kana kwamba wengine wote wapuuzi tu ila mzee wenu.mabadiliko aliyosema nyerere ni wezi kutoenda ikulu na so vinginevyo.
 
Mkuu upo sahihi kwa tuhuma hizo ni ngumu kupita hasa hilo la kuanza kampeni kabla naona kama litamuondoa kiulaini
 

Nduguyangu me mwenyewe nipo huku nyansaka bora tulijue tuangushie aisee
 
hata kuchukua form hakuwa na sifa basi walimsubili kibla wachinjie mbali,
 
kumbe wewe mpumbavu baada ya kutuandikia mambo ya manA unatuletea mipasho ya kwenye kanga wacha kukimeza utakikalia hicho
 
Huu uzi ni maalum kwa ajili ya kuwatisha watanzania waliopo dodoma na kuwatisha ccm na kamati kuu kuwa iwapo watamkata Lowassa basi atahamia ACT na ndio na ndio maana hiyo slogan ya UZALENDO umeiweka hapo. Nawashauri muhame mapema na kutisha watu ili waamue kwa shinikizo.
FISADI anapaswa kuwa JELA na sio jukwaani akigombea urais.
 
Lowassa ndo mtia nia wa kwanza jina lake kukatwa..! Mtajibeba mwaka huu
 


We unameza kisu...

Mi nameza kichwa cha treni kabisaa kamwe hapiti.
 
Lowasa ni Jembe wa MAJEMBE ndo mana majembe wanamkubali...endeleen kupanda magari yake na huo umaskini mtabaki nao ye akizid kutusua

Jembe alifanyi kazi mpaka liingizwe mpini...!
 
Mtoa mada usimeze kisu kunywa maji ya betri ya gari chagua yale makali yatafaa zaidi.
 
subilini taarifa ya kukatwa hili awapeleke msituni maana inaonekana ameishaanda jeshi lake hayo matisherti mtavalia huko tuone
Misitu yenyewe lowassa na mafisi wenzake wameifyeka kuuza mbao nje ya nchi..nafikiri watatumia kale kamsitu ka wahuni na vibaka wenzao hapo selander bridge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…