nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,802
- 4,450
EL alikuwa mwanajeshi pia
Hajawahi kuwa mwanajeshi, cheo cha jeshi hakifutiki hadi kufa na ukifa uaitwa marehemu kwa cheo chako.
EL alikuwa mwanajeshi pia
Mkuu kama ninakumbuka vizuri mahesabu basi Kikwete aliporoma kwa asilimia 23.6
Mwaka 2005, Mhe Kikwete wa CCM alipata zaidi ya 80% ya kura zote na hivyo kuonesha namna gani wananchi walivyokuwa na kiu na imani kubwa kwa Kikwete binafsi na hata CCM kwa ujumla.
Miaka mitano (05) baadaye Mhe Kikwete aliporomoka kwa karibu 20% na hivyo kuambulia kura 5,276,827 sasa na 61.17% ya kura zote.
Kwa nini unanitusi? Je, kuwa kinyume kimtazamo ni sababu ya kunitusi?We kweli kichwa maji. Huwezi tumia historical data kufanya maamuzi nyrti kama hayo. Afu ujue kuwa ukawa hawawezi kumchukuwa fisadi huyo.
Mkuu kama ninakumbuka vizuri mahesabu basi Kikwete aliporoma kwa asilimia 23.6
Kwanini nasema asilimia 23.6? Kwa sababu 2005 alipata 80%, baadaye 2015 akapata 61.17%, hapo kukiwa na tofauti ya 18.9%. Sasa chukua 18.9% gawanya kwa 80% ya 2005 halafu zidisha na 100 utapata 23.6%. Kwa hiyo kura za Kikwete mwaka 2010 zilipungua kwa zaidi ya 23.6%.
Nyie wakina gogo la shamba mlishasema akikatwa lazima pachimbikenarudia tena jina la Lowasa likikatwa lazima watu watoke na NGEU
narudia tena jina la Lowasa likikatwa lazima watu watoke na NGEU
narudia tena jina la Lowasa likikatwa lazima watu watoke na NGEU