Wakuu
Mi si mpenzi wa siasa,
Lakini naomba niseme japo kidogo,lakini kiukweli lowassa anatishaa,Nimekuwa nafuatilia siasa hapa na pale lakini nimeona kila anayegombea adui yake namba moja ni lowassa!Najiuliza kwanni bila kupata jibu,imefika mahali hata vikao vya ccm vimekuwa vikiaahirishwa mara kwa mara kuepuka mafuriko ya huyu mh ikumbukwe kuwa si kawaida ya chama cha mapinduzi mpaka muda na mwezi kama huu hawajapata mgombea,lakini ukichunguza siyo kana kwamba wamekusudia lakini kiukweli nikwamba wanajaribu kukwepa jina lowassa.Lowassa ameonekana kuwa tishio kwa wagombea wengine,na kibaya zaidi kinachowauma ni pale wanapomtukana lowassa lakini lowassa amekuwa mstaarabu kwa kuchaguwa kuwa kimya huku yeye binafsi akijikita kutafuta ushawishi kwa wananchi,ni hivi tu karibuni kutafanyika vikao vya maamuzi ndani ya ccm lakini kuna kila dalili za kutofanyika kikao hicho vinavyotegemewa kuanza wiki ijayo.Ushauri wangu kwa ccm kwa muda mmeshalewa lowassa yuko mbali sna nawashauri tafuteni njia ya kidiplomasia mzungumze naye,mi siyo mwanasiasa lakini nimeliona hili je nyie mlioko huko juu??Yangu macho nione