Wakuu,
Msafara wa lowassa umepita sasa hivi hapa magomeni mataa wanatokea kariakoo wanaelekea ilala.
Mwanzoni nilizani kuna bodaboda kagongwa na gari maanaa group kubwa la madereva bodaboda wamepita kwa mbwembwe (walikuwa wakipiga honivna kuinua matairi ya mbele ya bodaboda zao).ilinilazimu nisogee nione vizuri ndipo nilipoona msafara wa magari nyumba ya hizo bodaboda.
Huyu mheshimiwa anatisha sana. Yuko vizuri.
Huyu jamaa ni soo!, ni noma!. Yaani asipopitishwa yeye ndani ya CCM, patachimbika!, patakuwa hapatoshi kabisa!, hakuliki wala hakulaliki mpaka jamaa atinge ikulu!.Wakuu,
Msafara wa lowassa umepita sasa hivi hapa magomeni mataa wanatokea kariakoo wanaelekea ilala.
Mwanzoni nilizani kuna bodaboda kagongwa na gari maanaa group kubwa la madereva bodaboda wamepita kwa mbwembwe (walikuwa wakipiga honivna kuinua matairi ya mbele ya bodaboda zao).ilinilazimu nisogee nione vizuri ndipo nilipoona msafara wa magari nyumba ya hizo bodaboda.
Huyu mheshimiwa anatisha sana. Yuko vizuri.
Wakuu,
Msafara wa lowassa umepita sasa hivi hapa magomeni mataa wanatokea kariakoo wanaelekea ilala.
Mwanzoni nilizani kuna bodaboda kagongwa na gari maanaa group kubwa la madereva bodaboda wamepita kwa mbwembwe (walikuwa wakipiga honivna kuinua matairi ya mbele ya bodaboda zao).ilinilazimu nisogee nione vizuri ndipo nilipoona msafara wa magari nyumba ya hizo bodaboda.
Huyu mheshimiwa anatisha sana. Yuko vizuri.
....bhahahahaaaaa hii inafaa kuitwa mafisadi supporters special junction....
anatisha kivp na yuko vzur kvp.kiwizi au kiutendaji