meba
Member
- May 5, 2012
- 99
- 9
Nimekua nikiwasikia baadhi ya watu wakisema, iti lowassa hafai kuwa rais kwa sababu ni fisadi. Sasa kama ni fisadi, kusanyeni ushaidi mpelekeni mahakamani,ni nini kinachowazuia mpaka sasa? Mnabaki kulalamika tu? Mmezaliwa kulala mika nyinyi watuh roho inamuuma Lowassa akiwa rais basi ahame nchi. Kila watu wakijitokeza kumpokea lowassa watu wanasema iti, ananunua wa hivi watu wale wote nani katika hii nchi, anaweza kunnua watu kama wale hata hiyo bajeti ya serikali ya 2015/2016 ya trilion 22.5 isingeweza kuninua wale watu wote. Watanzania tuache kuwa domo kaya, na tuache wivu wa kiume. Mimi naona kabisa lowassa ndio chaguo la watanzania na ccm ikitaka kupoza dira wahuondoe jina la Lowasa.