Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

Ili kuelezea kwa ufasaha maana ya neno "Ufisadi" huwezi kuacha kumtaja lowasa. eti ndo awe Rais? thubutu! sio katika nchi hii.
 
Katuibia weeeeeeeeeee..........., eti leo anarudi anajidai oho, nawatoa kwnye umaskini, oho nauchukia umaskini, oho nitaifanya Tz pepo ...hivi yeye anauchukia umaskini kuliko nani ama kaambiwa umaskini ni sifa ? kama ana pesa nyingi kwanini asitulie akafurahiaa pesa zake? umaskini wetu si wa pesa, anatakiwa aelewe kwsmba sie watz hatuna umaskini wa pesa, bali tuna umaskini wa kupata viongozi wabovu na wenye tamaa kama yeye na ndo maana tunatafuta viongozi wa kutufanya wa kutuongoza na si wa kutupa pesa, kama ni pesa nchi yetu inavyo vitu vingi sana vya kutufanya matajiri na si pesa ya mwizi.

kakuibia nini wewe

au chupi yako
 
Wandugu,

Katika kile ninachooneka Team Lowassa matumaini FC kuonyesha kushindwa mapema, ni ile hali ya kulia lia kila kona akihofia kukatwa.

Matumaini FC baada ya kupata kocha mpya aliyechukua mikoba ya shushu mstaafu no. 1 ambaye alionekana kuiongoza vizuri team yake lakini mwenye team akajali zaidi ule utatu mtakavitu au mapacha watatu ambaye aliachia ngazi za uwakilishi njengoni kwa kuita siasa za Tanzania kuwa ni uchwara zaidi.

Baadaye kutimukia Kenya kusaka mahela zaidi na kuipa TZ kisogo, Mwanandiga huyu mtaalam wa madili Tanzania amekata matumaini na teama yake Matumaini FC iliyokuwa inaelekea kuchukua Kombe linalowaniwa kila miaka mitano pale magogoni.

Mpaka tunaingia mitamboni watabili maarufu wanaona matumaini FC kufungwa penaliti 1-0 kwenye mchuano mkali zidi ya wagombea wenzake.
hakatwi mtu hapa

mkikata jina linarudi

au tunahamia chadema basi

no lowassa no ccm
 
mnakosaga kazi za kufanya ndomana kila wakati kumdiscuss LE,mnauliza pesa anatoa wapi,bado tena mnasema ni tajiri,bado mnasema ana nunua watu.sasa tuwaelewe vipi nyie vizabizabina??hao wagombea wengine kwani hizo pesa watazirudisha vipi?kwani ni Lowassa pekee anaetafuta wadhamini?kwani duniani ni Lowassa pekee mgombea anae pata wadhamini kutoka makundi mbalimbli??Achane chuki fanyeni kazi mkose muda wakupiga majungu

Kwa hiyo unataka kuaminisha watanzania Kuwa CCM ni chama cha wezi?
 
Leo nimefanikiwa kupita mitaa ya Arusha nikakuta Yutong mbili za Lowasa, zimepambwa kwa rangi za kijani na picha za Lowasa, Team Lowasa. Lakini zimeandikwa jina la kampuni la mabasi "RATICO".

Nikajiuliza hivi hizi Yutong kweli ni za RATICO au jina limewekwa tu ili kuua soo!!!. Lakini kama amekodi, mbona basi zima limepakwa rangi tofauti na ile ya kampuni?. Nikajiuliza maswali mengi kwamba kama kweli Lowasa amekodi haya magari, kwa siku anamlipa shilingi ngapi RATICO hadi ahairishe safari zake za abiria na amkodishie Lowasa katika mizunguko yake?. Na kama Lowasa amenunua, kanunua shilingi ngapi basi za kisasa kama hizo?.

Lakini pia wadau wakanitonya kuwa kuna zaidi ya Yutong mbili maana zingine zilikuwa Babati. Nimejiuliza sana, kwamba Lowasa hii pesa kapata wapi?, au atazirudishaje?, nafahamu kuwa akifika Arusha matajiri wote ufunga shughuli zao na kufuatana na Lowasa, je atawalipaje hawa matajiri?,Au akiwa Rais hao matajiri si hawatakwepa kodi ili kurudisha pesa zao?. Kuna maswali mengi hapa.

Sio RATICO ni RATCO na hata hivo hiyo sio rangi ni stika tu zimebandikwa na pili uache wivu wa kike sababu makubaliano ya ratco na lowassa hayakuhusu.Hzo yutong hazizidi 300m na kampeni zikiisha ni rahisi kuziuza sababu zinakua kama bado mpya tu.chukua limao
 
Kwan uyo ratco yeye kazipataje? Achana na mawazo finyu ww, kaa na kutafakar kwenye familia yenu hakuna mtu mwenye pesa? Na kama yupo kazipataje? Au we unataka kila anacho kifanya akwambie kuwa sasa hv nafanya kitu fln, ww ni kama nan? Utakufa maskin na mawazo yako finyu

Huyu Mwanasiasa ambae tangu ujana wake ni siasa tu, anawezaje kugharamia haya mabasi kwa zaidi ya mwezi huku yakiwa na Wapambe wanaokula na kunywa, kulala Guest nk?
 
Sio RATICO ni RATCO na hata hivo hiyo sio rangi ni stika tu zimebandikwa na pili uache wivu wa kike sababu makubaliano ya ratco na lowassa hayakuhusu.Hzo yutong hazizidi 300m na kampeni zikiisha ni rahisi kuziuza sababu zinakua kama bado mpya tu.chukua limao

Kwa hiyo mkuu kununua Ratco nne kila moja M300 si tatizo kwa mwanasiasa?
 
wewe ukiwa kama nani?

Nikiwa kama Mtanzania anaelipa kodi lakini kuna wenzetu wanaziiba na kuzitumia kirahisi, ndio maana huwa haipiti miaezi sita bila kusikia pesa zimeibiwa?
 
Kwa hiyo mkuu kununua Ratco nne kila moja M300 si tatizo kwa mwanasiasa?

Kwahyo unataka kusema tangia lowassa aanze kazi hawezi akanunua yutong 4?na hata hvo sijasema amenunua.
 
Huyu Mwanasiasa ambae tangu ujana wake ni siasa tu, anawezaje kugharamia haya mabasi kwa zaidi ya mwezi huku yakiwa na Wapambe wanaokula na kunywa, kulala Guest nk?

ha ha ha,kijana fanya kazi kusaka faranga,utaumiza moyo wako bure kijana......mwanaume pesa,wengine ni wanaume thuruari tuu.
 
Back
Top Bottom