Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

Leo nimefanikiwa kupita mitaa ya Arusha nikakuta Yutong mbili za Lowasa, zimepambwa kwa rangi za kijani na picha za Lowasa, Team Lowasa. Lakini zimeandikwa jina la kampuni la mabasi "RATICO".

Nikajiuliza hivi hizi Yutong kweli ni za RATICO au jina limewekwa tu ili kuua soo!!!. Lakini kama amekodi, mbona basi zima limepakwa rangi tofauti na ile ya kampuni?. Nikajiuliza maswali mengi kwamba kama kweli Lowasa amekodi haya magari, kwa siku anamlipa shilingi ngapi RATICO hadi ahairishe safari zake za abiria na amkodishie Lowasa katika mizunguko yake?. Na kama Lowasa amenunua, kanunua shilingi ngapi basi za kisasa kama hizo?.

Lakini pia wadau wakanitonya kuwa kuna zaidi ya Yutong mbili maana zingine zilikuwa Babati. Nimejiuliza sana, kwamba Lowasa hii pesa kapata wapi?, au atazirudishaje?, nafahamu kuwa akifika Arusha matajiri wote ufunga shughuli zao na kufuatana na Lowasa, je atawalipaje hawa matajiri?,Au akiwa Rais hao matajiri si hawatakwepa kodi ili kurudisha pesa zao?. Kuna maswali mengi hapa.

Yaani!
Wabongo mnachekesha sana, yaan mnamfanya. Lowassa kuwa ni Masikini Kama wewe ashindwe Sununu
 
Je, Lowasa anapata wapi hizi pesa?, kama anafanya biashara anaweza kuonesha ni kodi kiasi gani analipa?
 
Kwa hiyo unataka kuaminisha watanzania Kuwa CCM ni chama cha wezi?

out of the point udhamini na wizi vinahusika vipi hapo kwenye comment yangu..unafiki unakusumbua
 
Leo nimefanikiwa kupita mitaa ya Arusha nikakuta Yutong mbili za Lowasa, zimepambwa kwa rangi za kijani na picha za Lowasa, Team Lowasa. Lakini zimeandikwa jina la kampuni la mabasi "RATICO".

Nikajiuliza hivi hizi Yutong kweli ni za RATICO au jina limewekwa tu ili kuua soo!!!. Lakini kama amekodi, mbona basi zima limepakwa rangi tofauti na ile ya kampuni?. Nikajiuliza maswali mengi kwamba kama kweli Lowasa amekodi haya magari, kwa siku anamlipa shilingi ngapi RATICO hadi ahairishe safari zake za abiria na amkodishie Lowasa katika mizunguko yake?. Na kama Lowasa amenunua, kanunua shilingi ngapi basi za kisasa kama hizo?.

Lakini pia wadau wakanitonya kuwa kuna zaidi ya Yutong mbili maana zingine zilikuwa Babati. Nimejiuliza sana, kwamba Lowasa hii pesa kapata wapi?, au atazirudishaje?, nafahamu kuwa akifika Arusha matajiri wote ufunga shughuli zao na kufuatana na Lowasa, je atawalipaje hawa matajiri?,Au akiwa Rais hao matajiri si hawatakwepa kodi ili kurudisha pesa zao?. Kuna maswali mengi hapa.

Yaani!
Wabongo mnachekesha sana, yaan mnamfanya. Lowassa kuwa ni Masikini Kama wewe ashindwe kununua hivyo vigari.
 
Yaani!
Wabongo mnachekesha sana, yaan mnamfanya. Lowassa kuwa ni Masikini Kama wewe ashindwe Sununu
Mimi siyo Masikini kama unavydhani, tatizo langu ni kwamba Mwanasiasa ambae hakuwahi kufanya biashara ya kuonekana anawezaje kuwa na Pesa ya kuwa na Mabasi yenye wapambe wanaokula na kuvywa, kuzunguka nchi nzima?
 
Kwa hiyo unataka kuaminisha watanzania Kuwa CCM ni chama cha wezi?

kuwa tajiri ndo wizi?,kijana ukomunist uliondoka na kina mwenyekiti mao,sasa ni wewe tu kuzisaka pesa
 
Kwahyo unataka kusema tangia lowassa aanze kazi hawezi akanunua yutong 4?na hata hvo sijasema amenunua.

Kwa hiyo ukitoa matumizi yake binafsi, anaweza kuwa ameserve Bilioni 1.2 kwa ajili ya Yutong 4?
 
kuwa tajiri ndo wizi?,kijana ukomunist uliondoka na kina mwenyekiti mao,sasa ni wewe tu kuzisaka pesa

Utajiri si wizi, tunachoshangaa ni kuona mtumishi wa Umma kama Lowasa anakuwa na uwezo wa kumiliko Yutong zaidi ya 3 katika kuomba udhamini tu
 
Mimi siyo Masikini kama unavydhani, tatizo langu ni kwamba Mwanasiasa ambae hakuwahi kufanya biashara ya kuonekana anawezaje kuwa na Pesa ya kuwa na Mabasi yenye wapambe wanaokula na kuvywa, kuzunguka nchi nzima?

enzi za usiwe na hisa kwenye makampuni hazipo tena,sasa mtu unaweza kuwa na hisa hata newyork stock exchange.mtu si lazima akae dukani ndo ujue anafanya biashara......
 
enzi za usiwe na hisa kwenye makampuni hazipo tena,sasa mtu unaweza kuwa na hisa hata newyork stock exchange.mtu si lazima akae dukani ndo ujue anafanya biashara......

Yeye akiwa kama mtumishi wa Umma, huo mtaji wa HISA wa kuweza kumpa mabilioni ya pesa katoa wapi?
 
Utajiri si wizi, tunachoshangaa ni kuona mtumishi wa Umma kama Lowasa anakuwa na uwezo wa kumiliko Yutong zaidi ya 3 katika kuomba udhamini tu

we mzito sana kuelewa bado uko nyumba enzi za kiongozi haruhusiwi kuwa na hisa ama kufanya biashara
 
Yeye akiwa kama mtumishi wa Umma, huo mtaji wa HISA wa kuweza kumpa mabilioni ya pesa katoa wapi?

huyo kaanza kusaka hela,wewe bado ukiwa hujazaliwa.
inashangaza kijana wa mwaka 2000 anahoji eti lowasa katoa wapi hela......
 
Back
Top Bottom