mzee wa kismati
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 2,291
- 798
Nikiwa kama Mtanzania anaelipa kodi lakini kuna wenzetu wanaziiba na kuzitumia kirahisi, ndio maana huwa haipiti miaezi sita bila kusikia pesa zimeibiwa?
Kodi gani
Kazi kushinda vijiweni
Nikiwa kama Mtanzania anaelipa kodi lakini kuna wenzetu wanaziiba na kuzitumia kirahisi, ndio maana huwa haipiti miaezi sita bila kusikia pesa zimeibiwa?
Sibishani na watoto!
Leo nimefanikiwa kupita mitaa ya Arusha nikakuta Yutong mbili za Lowasa, zimepambwa kwa rangi za kijani na picha za Lowasa, Team Lowasa. Lakini zimeandikwa jina la kampuni la mabasi "RATICO".
Nikajiuliza hivi hizi Yutong kweli ni za RATICO au jina limewekwa tu ili kuua soo!!!. Lakini kama amekodi, mbona basi zima limepakwa rangi tofauti na ile ya kampuni?. Nikajiuliza maswali mengi kwamba kama kweli Lowasa amekodi haya magari, kwa siku anamlipa shilingi ngapi RATICO hadi ahairishe safari zake za abiria na amkodishie Lowasa katika mizunguko yake?. Na kama Lowasa amenunua, kanunua shilingi ngapi basi za kisasa kama hizo?.
Lakini pia wadau wakanitonya kuwa kuna zaidi ya Yutong mbili maana zingine zilikuwa Babati. Nimejiuliza sana, kwamba Lowasa hii pesa kapata wapi?, au atazirudishaje?, nafahamu kuwa akifika Arusha matajiri wote ufunga shughuli zao na kufuatana na Lowasa, je atawalipaje hawa matajiri?,Au akiwa Rais hao matajiri si hawatakwepa kodi ili kurudisha pesa zao?. Kuna maswali mengi hapa.
Kwa hiyo unataka kuaminisha watanzania Kuwa CCM ni chama cha wezi?
Leo nimefanikiwa kupita mitaa ya Arusha nikakuta Yutong mbili za Lowasa, zimepambwa kwa rangi za kijani na picha za Lowasa, Team Lowasa. Lakini zimeandikwa jina la kampuni la mabasi "RATICO".
Nikajiuliza hivi hizi Yutong kweli ni za RATICO au jina limewekwa tu ili kuua soo!!!. Lakini kama amekodi, mbona basi zima limepakwa rangi tofauti na ile ya kampuni?. Nikajiuliza maswali mengi kwamba kama kweli Lowasa amekodi haya magari, kwa siku anamlipa shilingi ngapi RATICO hadi ahairishe safari zake za abiria na amkodishie Lowasa katika mizunguko yake?. Na kama Lowasa amenunua, kanunua shilingi ngapi basi za kisasa kama hizo?.
Lakini pia wadau wakanitonya kuwa kuna zaidi ya Yutong mbili maana zingine zilikuwa Babati. Nimejiuliza sana, kwamba Lowasa hii pesa kapata wapi?, au atazirudishaje?, nafahamu kuwa akifika Arusha matajiri wote ufunga shughuli zao na kufuatana na Lowasa, je atawalipaje hawa matajiri?,Au akiwa Rais hao matajiri si hawatakwepa kodi ili kurudisha pesa zao?. Kuna maswali mengi hapa.
Hii hoja ni kubwa kuliko uwezo wako wa kufikiri...
Mimi siyo Masikini kama unavydhani, tatizo langu ni kwamba Mwanasiasa ambae hakuwahi kufanya biashara ya kuonekana anawezaje kuwa na Pesa ya kuwa na Mabasi yenye wapambe wanaokula na kuvywa, kuzunguka nchi nzima?Yaani!
Wabongo mnachekesha sana, yaan mnamfanya. Lowassa kuwa ni Masikini Kama wewe ashindwe Sununu
Kwa hiyo unataka kuaminisha watanzania Kuwa CCM ni chama cha wezi?
dalili za kuishiwa hoja hizi...ndio maana huwa nasema lowasa ni mwepesi kama walivyo wapambe wake hawana hoja kabisaSina cha kukusaidia zaidi kula malimao
Kwahyo unataka kusema tangia lowassa aanze kazi hawezi akanunua yutong 4?na hata hvo sijasema amenunua.
dalili za kuishiwa hoja hizi...ndio maana huwa nasema lowasa ni mwepesi kama walivyo wapambe wake hawana hoja kabisa
kuwa tajiri ndo wizi?,kijana ukomunist uliondoka na kina mwenyekiti mao,sasa ni wewe tu kuzisaka pesa
Mimi siyo Masikini kama unavydhani, tatizo langu ni kwamba Mwanasiasa ambae hakuwahi kufanya biashara ya kuonekana anawezaje kuwa na Pesa ya kuwa na Mabasi yenye wapambe wanaokula na kuvywa, kuzunguka nchi nzima?
Kodi gani
Kazi kushinda vijiweni
enzi za usiwe na hisa kwenye makampuni hazipo tena,sasa mtu unaweza kuwa na hisa hata newyork stock exchange.mtu si lazima akae dukani ndo ujue anafanya biashara......
Utajiri si wizi, tunachoshangaa ni kuona mtumishi wa Umma kama Lowasa anakuwa na uwezo wa kumiliko Yutong zaidi ya 3 katika kuomba udhamini tu
Wacha hizo mkuu, kwa kodi ninayolipa natamani hata kuwashe kibao
Yeye akiwa kama mtumishi wa Umma, huo mtaji wa HISA wa kuweza kumpa mabilioni ya pesa katoa wapi?
Wacha hizo mkuu, kwa kodi ninayolipa natamani hata kuwashe kibao