Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 17,560
- 28,518
Mtu aliyekula hela ya Lowassa utamjua tu.Bado endelea...kesho njoo useme anaendaga washroom na simu hatufai...
Mtu aliyekula hela ya Lowassa utamjua tu.Bado endelea...kesho njoo useme anaendaga washroom na simu hatufai...
Mtu aliyekula hela ya Lowassa utamjua tu.
Lowassa akiniibia , akinifisadi , nitamnanga na kumlaumu tu.Na mtu aliyelipwa ili amtukane Lowassa utamjua tu.
Katuibia weeeeeeeeeee..........., eti leo anarudi anajidai oho, nawatoa kwnye umaskini, oho nauchukia umaskini, oho nitaifanya Tz pepo ...hivi yeye anauchukia umaskini kuliko nani ama kaambiwa umaskini ni sifa ? kama ana pesa nyingi kwanini asitulie akafurahiaa pesa zake? umaskini wetu si wa pesa, anatakiwa aelewe kwsmba sie watz hatuna umaskini wa pesa, bali tuna umaskini wa kupata viongozi wabovu na wenye tamaa kama yeye na ndo maana tunatafuta viongozi wa kutufanya wa kutuongoza na si wa kutupa pesa, kama ni pesa nchi yetu inavyo vitu vingi sana vya kutufanya matajiri na si pesa ya mwizi.
we ni mjinga wakwanza kuuliza ya lowasa mbona ya sita huulizi tena la sita liikuwa speial hadiitting room,tumia ubongo kufiikiri na s masaburi au mtafute mwanaume akuoe utafuta upumbavu wako
Ww shida yako ni nini! ?
ndio kwa hyo??Wote mafisadi tu.