Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

tulishasema lowasa alishamaliza mchezo mapema sana. wajumbe wengi wa nec na mkutano mkuu wa ccm wako mkononi mwa lowasa na hawakohoi mbele yake kamwe. ccm wana wakati mgumu sana mbele ya lowasa...
 
Wana JF habari za uhakika nilizozipata ni kuwa Ndugu Lowassa amefanya booking ya Nyumba za wageni Mjini Dodoma ili wageni wake wa NEC na wale wa Halmashauri Kuu wasije wakakosa sehemu ya kulala. Kinachotokea sasa ni kuwa tarehe zilizopangwa kufanyika mikutano hiyo huwezi kupata nyumba za wageni Mjini Dodoma.

Kama hayo unayoyasema ni kweli, basi huyo ndie aina ya rais tunaemtaka. Rais anayeweza kuwaza mambo yatakayoweza kutokea mbele na kuchukua hatua. Kwa mfano hapo amejua kuwa katika tarehe hizo mji wa Dodoma utakuwa na wageni wengi hivyo ili wajumbe wasipate shida ni bora awafanyie booking ili watakapokuja kulala waweze kulipa wenyewe.

NB: Kwani anayefanya booking ni razima ndie atakayelipa!!!!???
 
Mara mgonjwa,fisadi,anahela nyingi mara anafanya biashara hatufai mara mwalimu alimkataa mara ni mtu wa visasi..leo tena nasikia ni mkabila...sitashangaa kesho nikisikia ni mweupe sana na anammvi nyingi hatufai...maana mmechoka sasa!

Hata huko Monduli hakuna cha maana alichowafanyia kwa miaka yote aliyokuwa bungeni! Kajinufaisha binafsi tu basi.
 
Kama hayo unayoyasema ni kweli, basi huyo ndie aina ya rais tunaemtaka. Rais anayeweza kuwaza mambo yatakayoweza kutokea mbele na kuchukua hatua. Kwa mfano hapo amejua kuwa katika tarehe hizo mji wa Dodoma utakuwa na wageni wengi hivyo ili wajumbe wasipate shida ni bora awafanyie booking ili watakapokuja kulala waweze kulipa wenyewe.

NB: Kwani anayefanya booking ni razima ndie atakayelipa!!!!???

haa haa mkuu mimi nina mtazamo tofauti na wako. kama mgombea hakupaswa kufanya hivo. hilo lilipaswa kufanywa na watu wa chama kwa maana ya uongozi. kilichofanyika ni rushwa ya dhahiri kabisa...
 
Hivi kwa nini baadhi ya watanzania kipindi hiki wamekuwa wambea sana.
 
....kinanacho nishangaza ni kuwa heading inasema tetesi lakini details zinasema habari za uhakika, wapi na wapo....
 
haa haa mkuu mimi nina mtazamo tofauti na wako. kama mgombea hakupaswa kufanya hivo. hilo lilipaswa kufanywa na watu wa chama kwa maana ya uongozi. kilichofanyika ni rushwa ya dhahiri kabisa...

Kumwandalia mgeni pa kulala sio rushwa.
Namgeni naye anapokwenda kwa mfalme hapaswi kupata shida yoyote, maana kwa mfalme pana kilakitu. Vyakula,malazi,na shida zako unatatuliwa. Yuko sahihi.
 
haa haa mkuu mimi nina mtazamo tofauti na wako. kama mgombea hakupaswa kufanya hivo. hilo lilipaswa kufanywa na watu wa chama kwa maana ya uongozi. kilichofanyika ni rushwa ya dhahiri kabisa...

Kwa maelezo yako na ya aliyeanzisha huu uzi ndio kusema hao wajumbe wamefanyiwa booking mbili. Yaani booking moja ya Lowasa na nyingine wamefanyiwa na chama!!!!!
 
Mara mgonjwa,fisadi,anahela nyingi mara anafanya biashara hatufai mara mwalimu alimkataa mara ni mtu wa visasi..leo tena nasikia ni mkabila...sitashangaa kesho nikisikia ni mweupe sana na anammvi nyingi hatufai...maana mmechoka sasa!
Usimtetee mtu ambaye viashiria vyote vinaonyesha ni mtu mwovu.
Kama ni ndugu yako basi ujue hafai.
Nenda KKKT Mbezi kanisani na uulize alivyo watapeli kiwanja.
Mtu wako ni dhahiri ana laana, maana kuliibia hadi kanisa kajipalia makaa ya moto.
 
Aliyesema kuwa nyumba za kulala wageni huko dodoma zimeshakodiwa na EL huenda yeye ni mhudumu wa gesti
 
Eti nina mifugo kati ya 8000 mpaka 10000 wanatufanya watoto wadogo ehn

Chochote kinawezekana lkn kwa hili la ng'ombe nikiwa monduli nakubali maana mwaka 2003 nikiwa nasoma monduli idadi kubwa ya ng'ombe ikivuka barabara ilikua ikiblock njia dk zaid ya20 ikisemekana ni wa lowasa.
 
Usimtetee mtu ambaye viashiria vyote vinaonyesha ni mtu mwovu.
Kama ni ndugu yako basi ujue hafai.
Nenda KKKT Mbezi kanisani na uulize alivyo watapeli kiwanja.
Mtu wako ni dhahiri ana laana, maana kuliibia hadi kanisa kajipalia makaa ya moto.

Bado endelea...kesho njoo useme anaendaga washroom na simu hatufai...
 
Back
Top Bottom