Sio pesa bana....unaweza kuwa na pesa, watu wakala na wasikupe udhamini au kura...!!!
So lazima upendwe na wananchi kama EL, then fedha ktk uchaguzi ni lazima... so bila fedha huwezi gombea...!!! ndio ukweli...!!! Hakuna asiyetumia fedha ktk kugombea Ubunge au Urais...hakuna, sema viwango vinatofautiana, VYAMA VYOTE HUTUMIA MABILIONI KTK UCHAGUZI... eg CCM, CHADEMA..
Dr. Slaa juzi kaenda wiki nzima Ulaya kuomba fedha za uchaguzi kwa wafadhili, na kaahidiwa mabilioni...!! So fedha ndio injini ya Uchaguzi...