platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,548
- 11,517
cc: Mr. President.
Siku akisikia kishindo cha Kamati kuu anaweza kuzimia
Siku akisikia kishindo cha Kamati kuu anaweza kuzimia
Last edited by a moderator:
Sio pesa bana....unaweza kuwa na pesa, watu wakala na wasikupe udhamini au kura...!!!
So lazima upendwe na wananchi kama EL, then fedha ktk uchaguzi ni lazima... so bila fedha huwezi gombea...!!! ndio ukweli...!!! Hakuna asiyetumia fedha ktk kugombea Ubunge au Urais...hakuna, sema viwango vinatofautiana, VYAMA VYOTE HUTUMIA MABILIONI KTK UCHAGUZI... eg CCM, CHADEMA..
Dr. Slaa juzi kaenda wiki nzima Ulaya kuomba fedha za uchaguzi kwa wafadhili, na kaahidiwa mabilioni...!! So fedha ndio injini ya Uchaguzi...
mimi nilikuwa njiani nimetoka dar kurudi Arusha kuanzia KIA nimekutana na huo msafara wa mamvi mpaka kero huko barabarani wamekaa team ya mamvi wanamsubiri huu usanii angejua kitachomkuta asingehangaika kiasi hicho
Lowasa ni kansa ya taifa hili,mungu tuepushe na hili janga
atapa-atapata
Yaani wee Acha tu, kasomba Arusha yotee... Arusha town itahamia CCM bila shaka kabisa, kama mwendo ni huu, CDM watakiona cha mtema kuni..!!!
Lowassa ni Mwamba, na juu ya Mwamba huo Mungu kaamua kujenga nyumba yake...Hakika EL ni chaguo la watanzania wengi, chaguo la Mungu wa mbinguni...!!
Hii timu Lowassa kila siku inaleta muujiza mpya.
Maana Mbeya ilipata wadhamini 53,000 wakati mkoa wa Mbeya una jumla ya wanachama wa CCM 31,000
Iringa ikapata wadhamini 59,000 wakati mkoa wa Iringa una jumla ya wanachama wa CCM 39,000
Kweli hii ni timu ya matumaini, inaboresha mpaka wanachama wa CCM wanaongezeka hewani.
Huyu Jamaa ni King and master of Politics hapa Tz... hivi fikiria Arusha ni ngome kuu ya CDM... ila kwa Urais, kashajihakikishia anakomba wote... aisee huu mchezo EL anaujua...eeeh..!!
Usithubutu kuingiza jina takatifu LA MUNGU na fisadi papa,MUNGU hawezi kuruhusu fisadi anyone mito yote viumbe wake tu taabanitafta handaki la kujifichia kabla chaguo la Mungu halijakukuta
Ndio maana yake wenyeviti wamepewa pesa wanaangaika nyumba kwa nyumba ili wapate wazamini bahati mbaya wanaenda kwa watu wasio jua kusoma kazi kuweka gumba tu
JK ni zaidi ya geneous. Ajua wazi CCM siyo yake na hana ubavu wa kuamua Lowassa awe rais,Lowassa alidanganyika na safari hii anaweza akatambua kuwa CCM ni taasisi siyo chama cha Mwenyekiti anayekiongoza.kusotea kote wanamkata mzee wa watu?Mbona nasikia walipanga na jk ata mwachia
Maji yatakuwa yameanza kumfika shingoni.nimemskia akilalama eti chama chake watende haki
Atakufa kabisa.cc: Mr. President.
Siku akisikia kishindo cha Kamati kuu anaweza kuzimia