Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

Lowassa anatumia njia ambayo sihalali niliona juzi kuna wanaccm wanasainishwa na bilakujuwa
 
Kuña jambo watu hawajui wala hawazingatii kuhusu
Wadhamini.

Wanaotakiwa ni 200 kwa kila mikoa 10, tu na hawa hawaandikishwi barabarani au kwenye mikutano ya hadhara Au ofisi ya chama .
Bali ni kazi ya timu maalumu ya mtia nia
Na ndiyo yanayohitajika Cc!!

Haya mengine ni siasa tu hayaendi popote unaweza kuandika yeyote hata kama
sio ccm ;;;;!!!,,!! Ili mradi unataka kutishha watu kwamba
unakibalika na unazo
.!)
Mwisho, Haku kitu hapa !
Labda ukawa


Ur out of point kabisa...sorry...soma hapa..!!
 
Heshima sana wanajamvi.

Katika harakati za kusaka wadhamini team Lowassa Ndossy iliandaa maandamano ya Piki piki kutoka uwanja wa ndege wa KIA hadi Arusha mjini.Duru za kiusalama zililazimika kuzuia piki piki zote maeneo ya KIA hadi King'ori ili kuepusha msongamano wa magari usiokuwa wa lazima.

Taarifa zaidi zinadai kila Boda boda ililipwa Tsh 60,000/=@ na mafuta lita 10 kwaajili ya kufanikisha zoezi hilo.

Waendesha boda boda tayari walishalipwa fedha zao ili kuepusha madai ambayo wakati mwingine yanasababisha kuichafua kambi ya Edward Lowassa Ndossy.

Tayari kambi hiyo wanajindaa kudai kiasi cha fedha kwakuwa kazi iliyokusudiwa haikufanyika hata kwa 5%.

Zoezi la utoaji taarifa lilifanyika katika uwanja wa Msikiti Mkuu wa Bondeni ambao pia ulitumika kuchangisha fedha kwaajili ya ujenzi wa nyumba za msikiti.

Waislam wengi walisikika wakilalamika kwasababu shughuli hiyo ilisababisha usumbufu wakati wa swala ya adhuhuri kwakuwa wahudhuriaji walikuwa wakipiga makelele na waandaaji wa shughuli walitumia vyombo vyenye sauti kubwa.

Nawasilisha.

Wewe dada Mbona mmbeya sana
 
atapa-atapata



Wee lazima wanaume wa CCM tukupige nyuma mbele, naona CDM wamekulea vibaya, sasa tutakupiga mtungo wa uhakika... andaa ky..!!! CCM ndio jogoo, wengine mitetea, tunapanda tu..!!! Naona uko ktk heat, sasa hv ntakugeuza nyama..!!
 
kama Arusha kuna wana magamba wengi hivo mbona jimbo lipo CHADEMA??

Nahisi hujui nguvu ya Edo subiri apitishwe ndio utaiskia ukawa. Maana kuna member hadi huku kwa mGT was ukawa wamuunga mkono
 
Mkuu Jidu La Mabambasi inategemea na umbali usitake kumsingizia Laigwanan dhambi ya upendeleo.Kutoka KIA hadi Arusha ni kama 45 km.
Tatizo hapo mkuu ni kwa nini Laigwanan aliwaingiza mjini watu aliowaahidi.
Pili huyu mtu analaumiwa sana kwa NEPOTISM?

Humu mtandaoni kuna thread inayolalamika kuwa Laigwanana alipokuwa Waziri Mkuu alihamisha fedha za Miradi toka Mbeya kwenda kwao Arusha.
Hana sifa mzuri za kitaifa huyu jamaa.
 
Kuña jambo watu hawajui wala hawazingatii kuhusu
Wadhamini.

Wanaotakiwa ni 200 kwa kila mikoa 10, tu na hawa hawaandikishwi barabarani au kwenye mikutano ya hadhara Au ofisi ya chama .
Bali ni kazi ya timu maalumu ya mtia nia
Na ndiyo yanayohitajika Cc!!

Haya mengine ni siasa tu hayaendi popote unaweza kuandika yeyote hata kama
sio ccm ;;;;!!!,,!! Ili mradi unataka kutishha watu kwamba
unakibalika na unazo
.!)
Mwisho, Haku kitu hapa !
Labda ukawa

kwani uongo hakubaliki???
ukisikia kesho anakuja kwako lazima uchinje kuku na uje ujitangaze humu
 
Wewe utakuwa mgeni au pengine hujui historia ya Laigwanan Mkuu si mmaasai kama anavyotaka kuaminisha umma.Kabila lake ni mmeru na ukoo wake halisi ni Ndossy.Ukoo wa Ndossy unapatika katika kabla la wameru na wachagga wa Machame.Lowassa alisoma Arusha Secondary na mmoja wa ndugu zangu alishangaa sana Lowassa hataki kutumia ukoo wake wakati shule alikuwa akiitwa Edward Ndossy na kujipachika jina la Lowassa.

Kifupi hakuna ukoo wa Lowassa katika jamii ya kimaasai.Jina la Elowassa maana yake mtu mwenye maringo,majivuno....Baba yake Edward Ndossy alikuwa tarishi enzi za mkoloni akifanya kazi maeneo ya masaini enzi hizo alikuwa akivaa kaptura na soksi na viatu kitu ambacho wamasai walitafsiri ni maringo au mbwembwe kwakuwa wao hawakuwa wakivaa viatu au nguo za kawaida bali rubega ndio wakampachika jina Elowassa (mwenye maringo).

Na rafiki yangu mmoja wa zamani ambae ni Mmeru mwaka 2011 aliniambia Lowasa ni Mmeru kabisa na anachapa Kimeru sawasawa.
 
Kwa wadhamini hao mbona Lema angepigwa chini asubuhi mapema.
 
hovyoooo watu wengine mnajishushia hadhi tu.hivi kama huyo EL angekua ametoa hiyo mifedha na kuendelea mpaka sasa kweli team mrmbe na wengine wangekosa point tena ya kuisambaza na whatsap.tatzo hamuwezi zuia mafuriko kwa mikono na kila siku mnakuja na ngonjera mpya,mtoa mada wenzio walisema EL anahonga mpaka million 500 kwa watu kama kuna diamond na wengine kwenye taasisi za utafiti wa uchaguzi mkuuu.nafkiri sasa tuanze kufikiri kwa kutumia kichwa maana hyo mihela ukiicalculate huenda inafika trillion 100 sasaa daaah kweli uongo mbaya haya kazen buti kuendelea kubwabwaja hovyo
sasa hasira za nini si msubiri huyo July 12 kwani mbali?
 
Back
Top Bottom