Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

Heshima sana wanajamvi.

Katika harakati za kusaka wadhamini team Lowassa Ndossy iliandaa maandamano ya Piki piki kutoka uwanja wa ndege wa KIA hadi Arusha mjini.Duru za kiusalama zililazimika kuzuia piki piki zote maeneo ya KIA hadi King'ori ili kuepusha msongamano wa magari usiokuwa wa lazima.

Taarifa zaidi zinadai kila Boda boda ililipwa Tsh 60,000/=@ na mafuta lita 10 kwaajili ya kufanikisha zoezi hilo.

Waendesha boda boda tayari walishalipwa fedha zao ili kuepusha madai ambayo wakati mwingine yanasababisha kuichafua kambi ya Edward Lowassa Ndossy.

Tayari kambi hiyo wanajindaa kudai kiasi cha fedha kwakuwa kazi iliyokusudiwa haikufanyika hata kwa 5%.

Zoezi la utoaji taarifa lilifanyika katika uwanja wa Msikiti Mkuu wa Bondeni ambao pia ulitumika kuchangisha fedha kwaajili ya ujenzi wa nyumba za msikiti.

Waislam wengi walisikika wakilalamika kwasababu shughuli hiyo ilisababisha usumbufu wakati wa swala ya adhuhuri kwakuwa wahudhuriaji walikuwa wakipiga makelele na waandaaji wa shughuli walitumia vyombo vyenye sauti kubwa.

Nawasilisha.

Na Ahmad Mmow, Lindi


  • · BODA BODA WAPINGA JARIBIO LA KUTAKA KUDHULUMIWA UJIRA WAO
  • · WALIAHIDIWA MAFUT LITA, 3 NA SH. 10000 KILA MTU KWA SAA MOJA
  • · MKUU WA MKOA WA ZAMANI ATOA ZAKE MFUKONI KUZIMA HASIRA


Fedha zinazohusishwa moja kwa moja na waziri mkuu wa zamani, Edward Lowasa, katika safari yake ya kuelekea ikulu aliyoipachika jina la ''Safari ya Matumaini'' zimezua balaa baada ya waendesha pikipiki, maarufu kama bodaboda, takribani 70 kuingia mzozo wa namna ya kulipwa ujira wao.

Kiini cha mzozo cha huo ni kukiukwa kwa makubalianao ya awali kati ya mratibu wa mapokezi ya Lowasa kutoka uwanja wa ndege wa Kkwetu (Lindi) hadi ofisi ya ccm mkoa, amabaye aliwaelza waendesha bodaboda hao kwamba watawekewa lita tatu za mafuta kwenye pikipiki zao na kila mmoja atalipwa ujira wa shilingi 10000 kwa kazi itakayodumu kwa saa moja tu.

Hata hivyo, kinyume cha makubaliano hayo, Lowasa alichelewa kutua uwanja wa ndege kwa zaidi ya saa tano na hiyo, bodaboda hao kuingia makubaliano mapya na mratibu huyo, wakitaka walipwe shilingi 20000 yaani nyongeza ya shilingi 10000.

Wakizungumza na Raia Tanzania kwa masharti ya majina yao kutoandikwa gazeti ili kuepuka visasi dhidi yao , baadhi ya waendesha bodaboda hao walidai mratibu huyo, kwa kushirikiana na waendesha bodaboda mashabiki wa Lowasa walikubali wenzao walipwe nyongeza hiyo ya shilling 10000.

"Baada ya makubaliano hayo, tulifanya kazi yetu vizuri sasa tatizo likaibuka katika malipo,ilibidi tuongozane hadi ofisi ya ccm ili kudai haki yetu na huko tuliambiwa ccm haihusiki wakatushauri twende polisi. Tulikwenda polisi na Yule (mratibu) aliyetuahidi tutalipwa pesa. Tulimpakia kwenye bajaji lakini baadaye tukiwa njiani gari za polisi zilitufuata na kumchukua na kumweka ndani kwa ajili ya usalama wake".

"RPC (mkuu wa Polisi mkoa wa lindi) alituambia tunayo haki ya kudai chetu kwa kuzingatia makubaliano, wakati tukiendelea akatokea Abdulaziz (mkuu wa mkoa wa zamani wa lindi) na mbunge wa Lindi Mjini) akatuchukua na kutupeleka kwenye stationary ya mfanyabiashara mmoja anaitwa Ali Nalenga"

"kwa kuwa tulikuwa tumeorodheshana majina, alikuwa akiita jina mmoja baada ya mwingine na kutulipa 15000, unajua baada ya ugomvi tulitaka kulipwa shilingi 40000 lakini akatupa 15000" alisema mmoja wa waendesha boda boda hao.

Chanzo: Raia Tanzania (ijumaa june 19, 2015)

Double standards na upendeleo kwa wa kwao.
Lowassa ni BOMU!

Mbeya na Lindi aliahidi na HAWAKULIPWA!!!!
Arusha aliahidi, WAKALIPWA!!!!
 
Heshima sana wanajamvi.

Katika harakati za kusaka wadhamini team Lowassa Ndossy iliandaa maandamano ya Piki piki kutoka uwanja wa ndege wa KIA hadi Arusha mjini.Duru za kiusalama zililazimika kuzuia piki piki zote maeneo ya KIA hadi King'ori ili kuepusha msongamano wa magari usiokuwa wa lazima.

Taarifa zaidi zinadai kila Boda boda ililipwa Tsh 60,000/=@ na mafuta lita 10 kwaajili ya kufanikisha zoezi hilo.

Waendesha boda boda tayari walishalipwa fedha zao ili kuepusha madai ambayo wakati mwingine yanasababisha kuichafua kambi ya Edward Lowassa Ndossy.

Tayari kambi hiyo wanajindaa kudai kiasi cha fedha kwakuwa kazi iliyokusudiwa haikufanyika hata kwa 5%.

Zoezi la utoaji taarifa lilifanyika katika uwanja wa Msikiti Mkuu wa Bondeni ambao pia ulitumika kuchangisha fedha kwaajili ya ujenzi wa nyumba za msikiti.

Waislam wengi walisikika wakilalamika kwasababu shughuli hiyo ilisababisha usumbufu wakati wa swala ya adhuhuri kwakuwa wahudhuriaji walikuwa wakipiga makelele na waandaaji wa shughuli walitumia vyombo vyenye sauti kubwa.

Nawasilisha.

Wewe mchonganishi kinoma na nahisi unalipwa hela nzuri sana na hao wanaokutuma! ndugu unajisumbua watu milioni mbili tu ndio wanaotumia mitandao tanzania nzima na humu jamii forum bado kuna watu wachache, wanampenda lowassa wengi wapo mitaani wanatumia simu za tochi, sasa hivi vitu nakushauri kavisememe redioni kidogo watu watakusikia maana kwenye tv bado wenye ving'amuzi ni wachache!unatwanga maji kwenye kinu......
 
Ndugu yangu Viol unadhani hajui anajua sana sema anataka kutufanya wajinga wakati ukweli unajulikana.Safari kutoka Arusha hadi KIA ni kama kilometa 45 kuna dereva wa boda boda anaweza kufanya kazi hiyo bure.

Boda boda wao wanachoangalia kwa siku mahesabu yao yameenda,hawawezi kukataa
 
Last edited by a moderator:
Arusha imepata wadhamini zaidi ya laki moja wakati mkoa wa Arusha wanaCCM hawafikii hata elfu hamsini.

Jamani si inawezekana wamesajili wanachama wapya cha kushangaza ni nini.Goli la mkono ni goli endapo tu refa atakuwa ajaliona.
 
Mkuu Jidu La Mabambasi inategemea na umbali usitake kumsingizia Laigwanan dhambi ya upendeleo.Kutoka KIA hadi Arusha ni kama 45 km.

Double standards na upendeleo kwa wa kwao.
Lowassa ni BOMU!

Mbeya na Lindi aliahidi na HAWAKULIPWA!!!!
Arusha aliahidi, WAKALIPWA!!!!
 
Last edited by a moderator:
Mwende nae Monduli si mnampenda. Mwenzenu Mzee sana keshaikimbia aibu inayowajia
 
Ndugu yangu Viol unadhani hajui anajua sana sema anataka kutufanya wajinga wakati ukweli unajulikana.Safari kutoka Arusha hadi KIA ni kama kilometa 45 kuna dereva wa boda boda anaweza kufanya kazi hiyo bure.

Tripu za bodaboda mjini ni 3000 au 2000,akipata 25,000 kwa siku anashukuru,wengine kwa mabosi wanarudisha 15,000 jioni.

Sasa kwanini wakatae kwenda arusha wao wanakaa tu barabarani halafu mafuta wamejaziwa
 
Last edited by a moderator:
mimi nilikuwa njiani nimetoka dar kurudi Arusha kuanzia KIA nimekutana na huo msafara wa mamvi mpaka kero huko barabarani wamekaa team ya mamvi wanamsubiri huu usanii angejua kitachomkuta asingehangaika kiasi hicho


Mtoto unauza sana kabaang, muongo, mmbea mkubwa kama Mpora wake za watu, bossi wako Slaa...!!

Unahangaika na wanaume wa CCM, sisi hatutakiz makombo, we never sleep with harlots..!!! ENDELEA KUUZA HUKO CDM, koma kushobokea wanaume wa CCM, nungayembe..!!!

Leo Lowassa kapata wadhamini 120,338 Arusha... mtakoma, ndio moto unazidi kuwaka...!!
 
Mkuu fidolas hivi unajua tofuti ya uchonganishi na kutoa habari ya ukweli ?.Mimi siwezi kutumiwa kwasababu nina kazi yangu,ninajiweza wanaotumiwa ni wale wanaotumia fedha zao kununua uongozi.Lowassa kupendwa au kutokupendwa hakuna uhusiano na matendo anayofanya.


Wewe mchonganishi kinoma na nahisi unalipwa hela nzuri sana na hao wanaokutuma! ndugu unajisumbua watu milioni mbili tu ndio wanaotumia mitandao tanzania nzima na humu jamii forum bado kuna watu wachache, wanampenda lowassa wengi wapo mitaani wanatumia simu za tochi, sasa hivi vitu nakushauri kavisememe redioni kidogo watu watakusikia maana kwenye tv bado wenye ving'amuzi ni wachache!unatwanga maji kwenye kinu......
 
Last edited by a moderator:
Heshima sana wanajamvi.

Katika harakati za kusaka wadhamini team Lowassa Ndossy iliandaa maandamano ya Piki piki kutoka uwanja wa ndege wa KIA hadi Arusha mjini.Duru za kiusalama zililazimika kuzuia piki piki zote maeneo ya KIA hadi King'ori ili kuepusha msongamano wa magari usiokuwa wa lazima.

Taarifa zaidi zinadai kila Boda boda ililipwa Tsh 60,000/=@ na mafuta lita 10 kwaajili ya kufanikisha zoezi hilo.

Waendesha boda boda tayari walishalipwa fedha zao ili kuepusha madai ambayo wakati mwingine yanasababisha kuichafua kambi ya Edward Lowassa Ndossy.

Tayari kambi hiyo wanajindaa kudai kiasi cha fedha kwakuwa kazi iliyokusudiwa haikufanyika hata kwa 5%.

Zoezi la utoaji taarifa lilifanyika katika uwanja wa Msikiti Mkuu wa Bondeni ambao pia ulitumika kuchangisha fedha kwaajili ya ujenzi wa nyumba za msikiti.

Waislam wengi walisikika wakilalamika kwasababu shughuli hiyo ilisababisha usumbufu wakati wa swala ya adhuhuri kwakuwa wahudhuriaji walikuwa wakipiga makelele na waandaaji wa shughuli walitumia vyombo vyenye sauti kubwa.

Nawasilisha.

WEWE katika kambi za waliotia nia uko kambi ya nani mkuu? maana unavyokuza mambo unalenga kumchafua mzee wa watu kisiasa.
 
Mimi sina chama ila ningependa baadhi ya wagombea wapewe nafasi ya kutuongoza bila kujali wanatoka chama gani.

1. Dr W Slaa

2. Brigadier General Jaji Augustino Ramadhan

3. Dr Augustino Mahiga

4. Makongoro Nyerere "Mako"

5. T Lissu.

6. Prof Mwandosya

Mimi napenda uadilifu na si mbwembwe za mafisadi.

WEWE katika kambi za waliotia nia uko kambi ya nani mkuu? maana unavyokuza mambo unalenga kumchafua mzee wa watu kisiasa.
 
Mmmmhhh...Ama kweli...!!!

Sina la kusema, mafuriko kweli kweli...!!!

Arusha leo, Lowassa apata wadhamini 120,338 ikiwa ni record mpya kabisa, ya wadhamini wengi sana, ama kweli, NYUMBANI NI NYUMBANI...!!!

Naona Arusha mjini hiyooooo CCM, taratibuu... ama kweli leo ARUSHA mjini wamekinukishaaaa na kimenukiaaaaaa

CCM..🔊🔊🎉🎉🎇🎇🎆🎆🎄🎄 CCM...🔔🔊📻📺📡📀💿💻📀📱☎📠📼📣📣
eeeeehh..Chama cha mapinduziii ccm number oneeeeeee.....🔊🔊🔊🔊📻📻📺📡🎉🎁🎇🎄🎅👻👻👻🔨💉✂🎺🎷🎸👍👍👏👏👏🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🙆🙆🙆🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

Bravo Wana CCM, bravo Watanzania...
 
hivi huyu mzee bado anatafuta wadhamini tu , au ana kingine anatafuta ?
 
Mtoto unauza sana kabaang, muongo, mmbea mkubwa kama Mpora wake za watu, bossi wako Slaa...!!

Unahangaika na wanaume wa CCM, sisi hatutakiz makombo, we never sleep with harlots..!!! ENDELEA KUUZA HUKO CDM, koma kushobokea wanaume wa CCM, nungayembe..!!!

Leo Lowassa kapata wadhamini 120,338 Arusha... mtakoma, ndio moto unazidi kuwaka...!!

msumari ulipo ingilia ndipo utapotokea acha kuweweseka ccm wanataka wadhamini 30 kila mkoa hao wadhamini 120,338 ndo watampitisha Lowasa kugombea uraisi kupitia ccm.mamvi atakufa kwa presha bado siku chache sana
 
Kama ni hivyo, woote hao wataipigia kura UKAWA. Poleni maccm, HAKIKA msipomchagua LOWASA mmeula wa chuya. Ndo maana anasema, hakatwi mtu hapooooo
 
Back
Top Bottom