Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

Mkakati wa hawa watu kuitishia kamati ya maadili kupitia mitandao ya kijamii ni ya kitoto na kijinga.

Hoja Kwamba Lowassa akikatwa mara chama kitakufa, maana ana wafuasi wengi sana. Mara akikatwa ataenda ACT. Basi mnaambiwa mtakatwa. Anzeni safari yenu ya matumaini na ACT

Lowassa hana wafuasi wengi. Ana wasaka fedha na wasaka tonge. Na hata Huko ACT tutajua mbivu na mbichi. Ila mtambue kwamba, CCM itakuwa tu ikiachwa mikononi mwa mafisadi

Hacheni huu utoto wa intimidation kwenye mitandao, mnamuharibia Lowassa wenu. Fisadi hasafishiki hata kwa dodoki na jiki. Pengine atumie Mkorogo atatakata
Huyu fisadi anatakiwa asafishwe kwa kutumia sabuni inayoitwa Makongoro
 
Huyu fisadi anatakiwa asafishwe kwa kutumia sabuni inayoitwa Makongoro
Tena Makongoro anajitahidi kweli kuwasafisha Watanzania dhidi ya propaganda kuwa Lowasa anafaa. Lowasa hafai hata kwa chembe
 
haa haa mkuu vipi mtawakata na wale wafuasi wake waliojazana NEC na kamati kuu? maana huko wale wjumbe wa NEC na mkutano mkuu hawapumui mbele ya lowasa..
Lowasa hana wafuasi NEC na Kamati Kuu. Bali kuna watu wanaokula fedha zake ambao mwisho wa siku wanakuja kumgeuka
 
Mkakati wa hawa watu kuitishia kamati ya maadili kupitia mitandao ya kijamii ni ya kitoto na kijinga.

Hoja Kwamba Lowassa akikatwa mara chama kitakufa, maana ana wafuasi wengi sana. Mara akikatwa ataenda ACT. Basi mnaambiwa mtakatwa. Anzeni safari yenu ya matumaini na ACT

Lowassa hana wafuasi wengi. Ana wasaka fedha na wasaka tonge. Na hata Huko ACT tutajua mbivu na mbichi. Ila mtambue kwamba, CCM itukufa vibaya ikiachwa mikononi mwa mafisadi na wahuni kama Lowassa na Genge la Mafisadi papa

Hacheni huu utoto wa intimidation kwenye mitandao, mnamuharibia Lowassa wenu. Fisadi hasafishiki hata kwa dodoki na jiki. Pengine atumie Mkorogo atatakata




intimidation ndio nini
 
haa haa mkuu vipi mtawakata na wale wafuasi wake waliojazana NEC na kamati kuu? maana huko wale wjumbe wa NEC na mkutano mkuu hawapumui mbele ya lowasa..

kudhibiti hilo inabidi jina lisipenye kwenye 3 bora.
 
Kweli mkuu, NAWAKUBALI KWA SIASA ZA FITINA....toka enzi ya salim....Nimeona ile picha iliyotengenezwa ya yule mgombea anayetaka kudili na vibaka wa CCM.
Afu naona mnavyofitini itv kujitahid kurusha habari zenu kwa sana...
Nawakubali kwa fitna...

Siyo ITV peke yake na channel 10.
 
Ni waziri mkuu mstaafu mh. E. Lowassa ametua Songea muda huu akitumia usafiri wa chopa. Mapema tangu asubuhi mamia ya wanaccm walikuwa wakimiminika ktk office za ccm zilizopo S. Mjini kumsubiri rais huyo mtarajiwa.

Mji wa Songea umekumbwa na shamrashamra za ghafla kwa ajili ya mapokezi ya Lowassa. Kweli Lowassa ni shidaaaaa. stay tuned
 
Ni waziri mkuu mstaafu mh. E. Lowassa ametua Songea muda huu akitumia usafiri wa chopa. Mapema tangu asubuhi mamia ya wanaccm walikuwa wakimiminika ktk office za ccm zilizopo S. Mjini kumsubiri rais huyo mtarajiwa. Mji wa Songea umekumbwa na shamrashamra za ghafla kwa ajili ya mapokezi ya Lowassa. Kweli Lowassa ni shidaaaaa. stay tuned

Mjini biashara anayoiwekezea haipo? sijui atakufa akirejea dom?
 
Rais Kikwete amekuwa madarakani lkn sijawahi kushuhudia akipata mapokezi aliyoyapata Lowassa leo, umati ni mkubwa mno, barabara kuu ya kutoka airport haipitiki
 
Back
Top Bottom