Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

Huyo chifu alikwenda uwanja Wa ndege au alipelekwa uwanja Wa ndege?
 
Waziri mkuu MSTAAFU?Mwandishi hakuwa amezaliwa wakati ufisadi wa richmond ulipoanikwa?
 
Mtia nia "tupa tupa" ameendelea kutamba kuwa kati ya watia nia wote ni yeye peke ndiye mwenye uwezo wa kuongoza nchi.Magazeti yameripoti kuwa Mh.Lowasa hajaona kama kuna mgombea "wa ukweli" zaidi yake.Mpaka dakika hii hajasema kama atamuunga mkono mgombea yeyote ikiwa yeye atakatwa.
 
Nadhani mzee wa misele kashacheza chogochemba na sasa anapiga misele kujifanya anaaga majuu lkn kumbe anatayarisha dili zaidi za kupiga na EL..!! Hawa Boyz 2 Men ni wa kuwaogopa kama ebola..

hivi ni chogochemba ama tiktaker?.
 
Natabiri kuwa mgeja asipokuwa Katibu mkuu wa CCM basi atakuwa makamu mwenyekiti wa CCM.
 
Sifa za kitoto na cheap arrogance hata siku moja haviendani na matarajio yetu ya kiongozi anaetufaa.
 
Umenena rafiki , nilikuwa siamini kwamba Lowassa mgonjwa. Nimesikitika sana baada ya kutumiwa clips ikionesha jamaa. Anashindwa kusimama duu rais mgonjwaaaaaa. Naomba mnielelekeze namna ya ku post video mjionee wenyewe.
 
Mwaka huu hili gamba litasumbua sana,manake limeshikamana kila kona aiasee...all thebest Mamvi
 
Truueeeeee....trueeeeeeeeeee.....

Kiongozi shupavu husema wazi waziiiii ukweli, HAKUNA KAMA LOWASSA kwa sasa kwa wagombea woooote... hakuna, kasema kweli tupuuu..!!!

Wengine watia nia are jokers, haters, unpredictable, unknown, wengine wanatumika tu..wala sio viongozi wala hawatakiwi na wananchi...

Very good EL... Mpango wa Mungu EL...!!!

EL kama Yesu kwa sasa...!!!
 
Umenena rafiki , nilikuwa siamini kwamba Lowassa mgonjwa. Nimesikitika sana baada ya kutumiwa clips ikionesha jamaa. Anashindwa kusimama duu rais mgonjwaaaaaa. Naomba mnielelekeze namna ya ku post video mjionee wenyewe.

Hiyo ni photoshop. Clip imetengenezwa unless Uwe huna idea ya IT kabisa ndio utaamini !
 
mwenyezi mungu kama angalimpa ndg lowasa roho ngumu kama ya pinda mbona angelikuwepo mpaka leo hii!
lkn kwa hekima busara uadilifu aliamua apishe akae pembeni ajitafakari upya,
ONENI UADILIFU HUU,WATZ.
 
Truueeeeee....trueeeeeeeeeee.....

Kiongozi shupavu husema wazi waziiiii ukweli, HAKUNA KAMA LOWASSA kwa sasa kwa wagombea woooote... hakuna, kasema kweli tupuuu..!!!

Wengine watia nia are jokers, haters, unpredictable, unknown, wengine wanatumika tu..wala sio viongozi wala hawatakiwi na wananchi...

Very good EL... Mpango wa Mungu EL...!!!

EL kama Yesu kwa sasa...!!!

Mhhh hii sasa kali.
 
Back
Top Bottom