Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

Nitakua nikiwapa updates Kutoka Office ya CCM Mkoa wa Kilimanjaro!

Saa 10:49 wanachama Wameanza Kumdhamini

Saa 10:50 Helicopter imepita hapa ikiwa na bendera za chama sijui imembeba nani?

Helicopter imezunguka kama mara nane hivi hapa mjini jamaa analeta mbwebwe na raha watu wanazidi kufurika hapa! Office za ccm mkoa wa kilimanjaro!
 
naona aatakuwa aameshatua.kwan anga ni tulivu hakuna kelele za helkopter tena
 
Unatumia simu ya tochi au...!!!!?? Weka picha acha ubitoziiii..alaaaa!!
 
habari ya mjini ni Mch.Augustino ramadhani.Hili fisadi jambazi lowasa arudi monduli agombee ubunge
 
Mchungangaji aongoze nchi jamani ni sawa da sijui sisiem kama itavuka ila ukawa wajipange hatuangalii sura tunasikiliza sela....
 
kwani mgombea wao magamba si jana ndio kachukua form hao wengine bado wanasumbuka tuuuu.....hivi lowasa atapitaje mbele ya pinda,migiro,bilal,augustino na mwandosya kwenye CC.......kuondoa makundi lowasa na membe wote watatolewa na vibaraka wao walio chini yao...
 
Nitakua nikiwapa updates Kutoka Office ya CCM Mkoa wa Kilimanjaro!

Saa 10:49 wanachama Wameanza Kumdhamini

Saa 10:50 Helicopter imepita hapa ikiwa na bendera za chama sijui imembeba nani?

Helicopter imezunguka kama mara nane hivi hapa mjini jamaa analeta mbwebwe na raha watu wanazidi kufurika hapa! Office za ccm mkoa wa kilimanjaro!

Atakuwa ni msukuma huyo kakimbia kasheshe kanda ya ziwa
 
Nitakua nikiwapa updates Kutoka Office ya CCM Mkoa wa Kilimanjaro!

Saa 10:49 wanachama Wameanza Kumdhamini

Saa 10:50 Helicopter imepita hapa ikiwa na bendera za chama sijui imembeba nani?

Helicopter imezunguka kama mara nane hivi hapa mjini jamaa analeta mbwebwe na raha watu wanazidi kufurika hapa! Office za ccm mkoa wa kilimanjaro!

wenye kujua nini wanafanya wameshamaliza kukusanya hizo saini za wadhamini wao na kabaki yeye tu akitafuta umaarufu wa kitoto huku akijichelewesha kurudisha ili azidi kujipatia umaarufu kwa mgongo wa watu wengi wanaojitokeza ambao hata hivyo wengi wao ukiwaangalia tu kwa jicho la tai utagundua kuwa ni watu wanaofanana nae kiakili na wasiojua tanzania inataka nini na kiongozi gani. ataruka sana na hiyo private jet yake na hiyo chopper na ningeshauri hata akiweza atumie hadi spacecraft ila nawahakikishieni huku nikiwa na jeuri, kiburi na nyodo ya 100% kuwa edward ngoyai lowassa hatopitishwa na ccm kugombea urais 12 july 2015. nayasadiki maneno yangu haya na nitakuwa nayasadiki kwenu kila siku hadi ikifika siku ya 23 kutoka leo. ccm haijaenda likizo kihivyo hadi kufikia hatua ya kusahau nini yalikuwa mawazo ya hayati baba wa taifa na watu hawataki kulaaniwa na mzimu wa mwalimu nyerere hivyo watamfurahisha kwa kumpa nchi mtu ambaye hana hata chembe ya rushwa, wizi na umafia. rais akikosekana kati ya hawa dr. magufuli, jaji augustino na professor muhongo huku makamu wao ( mgombea mwenza ) akiwa makongoro nyerere mnitahiri kwa mara ya pili.
 
wenye kujua nini wanafanya wameshamaliza kukusanya hizo saini za wadhamini wao na kabaki yeye tu akitafuta umaarufu wa kitoto huku akijichelewesha kurudisha ili azidi kujipatia umaarufu kwa mgongo wa watu wengi wanaojitokeza ambao hata hivyo wengi wao ukiwaangalia tu kwa jicho la tai utagundua kuwa ni watu wanaofanana nae kiakili na wasiojua tanzania inataka nini na kiongozi gani. ataruka sana na hiyo private jet yake na hiyo chopper na ningeshauri hata akiweza atumie hadi spacecraft ila nawahakikishieni huku nikiwa na jeuri, kiburi na nyodo ya 100% kuwa edward ngoyai lowassa hatopitishwa na ccm kugombea urais 12 july 2015. nayasadiki maneno yangu haya na nitakuwa nayasadiki kwenu kila siku hadi ikifika siku ya 23 kutoka leo. ccm haijaenda likizo kihivyo hadi kufikia hatua ya kusahau nini yalikuwa mawazo ya hayati baba wa taifa na watu hawataki kulaaniwa na mzimu wa mwalimu nyerere hivyo watamfurahisha kwa kumpa nchi mtu ambaye hana hata chembe ya rushwa, wizi na umafia. rais akikosekana kati ya hawa dr. magufuli, jaji augustino na professor muhongo huku makamu wao ( mgombea mwenza ) akiwa makongoro nyerere mnitahiri kwa mara ya pili.

Naona unazidi kuchanganyikiwa Maghufuli umesahau riport ya juzi kuwa billion 290 fedha za kitanzania hazionekani zimeliwa na akina muhongo juzi tuu hapa amejiuzulu
 
kwani mgombea wao magamba si jana ndio kachukua form hao wengine bado wanasumbuka tuuuu.....hivi lowasa atapitaje mbele ya pinda,migiro,bilal,augustino na mwandosya kwenye CC.......kuondoa makundi lowasa na membe wote watatolewa na vibaraka wao walio chini yao...

Pesa ni sabuni ya roho
 
Back
Top Bottom