Huyu mzee inawezekana ana matatizo ya kisaikolojia. sio bure, kisa cha kupoteza muda na kuwapa watu kazi zisizo na sababu ni nini?
Hivi kuna mtu anayeambiwa akalete vitu 30 halafu analeta vitu elf ishirini naa?
Yani hivi vituko na ulimbukeni vinaonesha hana jipya na nia yake ni kuwa raisi basi.
Asante mkuu kwa kulianika hilo. Sijui ni uandishi gani huu?
- Lowassa haweka rekodi mpya
Huyu mzee inawezekana ana matatizo ya kisaikolojia. sio bure, kisa cha kupoteza muda na kuwapa watu kazi zisizo na sababu ni nini?
Hivi kuna mtu anayeambiwa akalete vitu 30 halafu analeta vitu elf ishirini naa?
Yani hivi vituko na ulimbukeni vinaonesha hana jipya na nia yake ni kuwa raisi basi.
Kanuni zetu zitamuengua mapema tunataka wadhamini 450 mikoa 15 wewe unaleta rundo la wadhamini anamtisha nani tutamchinjia baharini mapema.
Kimweri imebidi nicheke kwa maoni yako. Sasa si ndio anaonyesha umwamba wake? Anyway, kitu anachofanya Lowassa sasa ni kutengeneza hofu kwa wana CCM kuwa mkikata jina langu mtakiona, kwani nitahamia chama ...... na huko nitakuwa na support kubwa kabisa. Baada ya jaji kuchukuwa fomu wapenzi wake wengi wame-panick ila yeye nadhani alijua tangu mwanzo...
Agostino kaja
Na Mh Pinda je alievuna watu 10,000 Katavi? Au ni Lowassa peke yake ndio atachinjiwa Baharini kwa kosa la wadhamini wengi?
Na Mh Pinda je alievuna watu 10,000 Katavi? Au ni Lowassa peke yake ndio atachinjiwa Baharini kwa kosa la wadhamini wengi?