Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

wenye kujua nini wanafanya wameshamaliza kukusanya hizo saini za wadhamini wao na kabaki yeye tu akitafuta umaarufu wa kitoto huku akijichelewesha kurudisha ili azidi kujipatia umaarufu kwa mgongo wa watu wengi wanaojitokeza ambao hata hivyo wengi wao ukiwaangalia tu kwa jicho la tai utagundua kuwa ni watu wanaofanana nae kiakili na wasiojua tanzania inataka nini na kiongozi gani. ataruka sana na hiyo private jet yake na hiyo chopper na ningeshauri hata akiweza atumie hadi spacecraft ila nawahakikishieni huku nikiwa na jeuri, kiburi na nyodo ya 100% kuwa edward ngoyai lowassa hatopitishwa na ccm kugombea urais 12 july 2015. nayasadiki maneno yangu haya na nitakuwa nayasadiki kwenu kila siku hadi ikifika siku ya 23 kutoka leo. ccm haijaenda likizo kihivyo hadi kufikia hatua ya kusahau nini yalikuwa mawazo ya hayati baba wa taifa na watu hawataki kulaaniwa na mzimu wa mwalimu nyerere hivyo watamfurahisha kwa kumpa nchi mtu ambaye hana hata chembe ya rushwa, wizi na umafia. rais akikosekana kati ya hawa dr. magufuli, jaji augustino na professor muhongo huku makamu wao ( mgombea mwenza ) akiwa makongoro nyerere mnitahiri kwa mara ya pili.

Hivi jk hakuwahi kukataliwa na mwl nyerere?
 
wenye kujua nini wanafanya wameshamaliza kukusanya hizo saini za wadhamini wao na kabaki yeye tu akitafuta umaarufu wa kitoto huku akijichelewesha kurudisha ili azidi kujipatia umaarufu kwa mgongo wa watu wengi wanaojitokeza ambao hata hivyo wengi wao ukiwaangalia tu kwa jicho la tai utagundua kuwa ni watu wanaofanana nae kiakili na wasiojua tanzania inataka nini na kiongozi gani. ataruka sana na hiyo private jet yake na hiyo chopper na ningeshauri hata akiweza atumie hadi spacecraft ila nawahakikishieni huku nikiwa na jeuri, kiburi na nyodo ya 100% kuwa edward ngoyai lowassa hatopitishwa na ccm kugombea urais 12 july 2015. nayasadiki maneno yangu haya na nitakuwa nayasadiki kwenu kila siku hadi ikifika siku ya 23 kutoka leo. ccm haijaenda likizo kihivyo hadi kufikia hatua ya kusahau nini yalikuwa mawazo ya hayati baba wa taifa na watu hawataki kulaaniwa na mzimu wa mwalimu nyerere hivyo watamfurahisha kwa kumpa nchi mtu ambaye hana hata chembe ya rushwa, wizi na umafia. rais akikosekana kati ya hawa dr. magufuli, jaji augustino na professor muhongo huku makamu wao ( mgombea mwenza ) akiwa makongoro nyerere mnitahiri kwa mara ya pili.
Kukata jina la lowasa,ndio mwisho wa ccm.
 
Naona unazidi kuchanganyikiwa Maghufuli umesahau riport ya juzi kuwa billion 290 fedha za kitanzania hazionekani zimeliwa na akina muhongo juzi tuu hapa amejiuzulu

wewe umezuka kutoka wapi? jitahidi kwanza ulizoee jamvi ndipo uanze kutaka ligi na mimi vinginevyo nitakujibu halafu utakata hata tamaa ya ku log in tena.
 
Hivi jk hakuwahi kukataliwa na mwl nyerere?

nipe tofauti ya mtu kuambiwa " muda wako bado haujafika " na " hufai kuwa rais kwakuwa wewe ni mwizi ". anayemaliza muda wake october 25 2015 aliwambiwa muda wake bado na huyo unayemtaka atutawale aliambiwa kuwa yeye ni mwizi. sasa jichekeche mwenyewe kisha utapambanua. wamawia ninaowajua mimi huwa wanajua sana kufikiri sasa sijui mwenzetu ni mmawia wa wapi. au ni wale wa " nchumbiji? ".
 
na kulibakisha na hadi kulipitisha jina la lowassa ndiyo tiketi laini na nyepesi kwa ukawa kuchukua mamlaka na dola rasmi ya tanzania.

Ndio hapo mkuu,mmakonde aliposema....HUCHITEME wala HUCHIMUNG'UNYE...
 
kwani mwanamke anatahiriwa..unaongea kama mke wa mwenyekiti....Siasa aiko hivyo mamaa..kakioshe usubirie wateja..
 
Mpaka Sasa Bado Lowasa Hajapata Wadhamini? Je Ni Kwanini Hajapata Wakati Anatumia Chopa Na Huku 6 Ametumia Bas Ameshamaliza? Je? Lowasa Anajichelewesha Ili Kuitisha Cc?
 
nipe tofauti ya mtu kuambiwa " muda wako bado haujafika " na " hufai kuwa rais kwakuwa wewe ni mwizi ". anayemaliza muda wake october 25 2015 aliwambiwa muda wake bado na huyo unayemtaka atutawale aliambiwa kuwa yeye ni mwizi. sasa jichekeche mwenyewe kisha utapambanua. wamawia ninaowajua mimi huwa wanajua sana kufikiri sasa sijui mwenzetu ni mmawia wa wapi. au ni wale wa " nchumbiji? ".

Mimi ni mmawia wa mocambique
 
wenye kujua nini wanafanya wameshamaliza kukusanya hizo saini za wadhamini wao na kabaki yeye tu akitafuta umaarufu wa kitoto huku akijichelewesha kurudisha ili azidi kujipatia umaarufu kwa mgongo wa watu wengi wanaojitokeza ambao hata hivyo wengi wao ukiwaangalia tu kwa jicho la tai utagundua kuwa ni watu wanaofanana nae kiakili na wasiojua tanzania inataka nini na kiongozi gani. ataruka sana na hiyo private jet yake na hiyo chopper na ningeshauri hata akiweza atumie hadi spacecraft ila nawahakikishieni huku nikiwa na jeuri, kiburi na nyodo ya 100% kuwa edward ngoyai lowassa hatopitishwa na ccm kugombea urais 12 july 2015. nayasadiki maneno yangu haya na nitakuwa nayasadiki kwenu kila siku hadi ikifika siku ya 23 kutoka leo. ccm haijaenda likizo kihivyo hadi kufikia hatua ya kusahau nini yalikuwa mawazo ya hayati baba wa taifa na watu hawataki kulaaniwa na mzimu wa mwalimu nyerere hivyo watamfurahisha kwa kumpa nchi mtu ambaye hana hata chembe ya rushwa, wizi na umafia. rais akikosekana kati ya hawa dr. magufuli, jaji augustino na professor muhongo huku makamu wao ( mgombea mwenza ) akiwa makongoro nyerere mnitahiri kwa mara ya pili.




  • kwani mwanamke anatahiriwa..unaongea kama mke wa mwenyekiti....Siasa aiko hivyo mamaa..kakioshe usubirie wateja..​



 
Back
Top Bottom