Naenda Bar mapemaa kusherehekea, CCM bora hata tungesimamisha jiwe siyo huyu shetwain lenye nyoka hatari sana kwa taifa akina Rostam, Chenge, Karamgagi......
Pole sana Lowasa na team yako.Pamoja na kutokuunga mkono,ila huruma imeniingia sana baada ya kusikia habari za kukatwa.Ningependa kujua kwa sasa mzee upo wapi na u hali gani?
Atumia mamilioni kuusaka uraisi ila kalamu ya mia mbili ✒imetumika kumkataaa😃😃😃😃😃tena kama sio zike kalamu za obama itakuwa bic
Fahamu lowasa Ana moyo wa kutoa na mwenye huruma hivyo hakuna jipya ataendelea na huo moto ambayo ni zawadi kutoka kwa mungu na pia ataendelea kuwajibika na kuwajibisha!