Edward Lowassa special thread

Naenda Bar mapemaa kusherehekea, CCM bora hata tungesimamisha jiwe siyo huyu shetwain lenye nyoka hatari sana kwa taifa akina Rostam, Chenge, Karamgagi......
Mlevi hakosi sababu za kupombeka asubuhi namna hii!
 
wengi walikuwa wanamtafunia tu hela mzee wa watu wala hawakumpenda chochote !
 
This is extreme hipocricy.Kwa nini usikae kimya.Pamoja na upumbavu wake wote,kushindwa kujipambanua nk.bado anastahili heshima kama kiumbe wa Mungu.
Pole sana Lowasa na team yako.Pamoja na kutokuunga mkono,ila huruma imeniingia sana baada ya kusikia habari za kukatwa.Ningependa kujua kwa sasa mzee upo wapi na u hali gani?
 
Waliandamana kwa madai kuwa Lowasa ndiye mkombozi wao, sasa waandamane jina lake lirudishwe, team Lowasa poleni sana!!
 
Kuna haja ya kutafuta pop corn hapa mana movie bado inaendelea kwa waliokatwa
AMESHAKATWA
 
Atumia mamilioni kuusaka uraisi ila kalamu ya mia mbili ✒imetumika kumkataaa😃😃😃😃😃tena kama sio zike kalamu za obama itakuwa bic
 
Kuna haja ya kutafuta pop corn hapa mana movie bado inaendelea kwa waliokatwa
AMESHAKATWA
 
Dr. Slaa kashachukua nchii...

Ni ngumu kuamini... ila Mungu kaamua kuwakomboa watanzania kupitia Dr. Slaa

UKAWA mwendo wa speed of light...!!!

Ukawa, nchi yenu sasa...mshindwe wenyewe ..CCM wamejiua wenyewe...!!!
 
Fahamu lowasa Ana moyo wa kutoa na mwenye huruma hivyo hakuna jipya ataendelea na huo moto ambayo ni zawadi kutoka kwa mungu na pia ataendelea kuwajibika na kuwajibisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…