Edward Lowassa special thread


siwaoni wako wapi MUSSA ALLAN Ritz Lizaboni MR.PRESIDENT TeamLowassa mpoooooooo???
 
Last edited by a moderator:
Atakua amelala muda huu.
Watu wana majungu

Eti lowasa
Katumia pesa kibao kuutafuta Urais halafu pen ya mia mbili tu imemkata

!A ha ha !a ha ha.......Mkuu nimecheka sana pen ya miambili imemto mtu mzima nishai.
 

Hapo ongeza Gwajima maana aliahidiwa kupewa kiwanja cha Tanganyika Packers
 
Karibu UKAWA mh Lowasa! Lengo ni kung'oa chama chakavu, haijalishi silaha zitumikazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…