huu ndio ukweli.
akina Kingunge sijui wanatamani kufa kwa aibu na uoga wa maisha, Hamis Mgeja na wenzake, akina Nchimbi , Lugola, Simba na wengine weng waliojiandaa kuimaliza nchi.
akina Bashe, Rostam, Karamag, Chenge etc
sema naona baadhi ya Mafisad wanavyoenda kujiunga na akina Mramba muda si mrefu