Edward Lowassa ndani ya Mbeya vijijini Operation UKUTA

Edward Lowassa ndani ya Mbeya vijijini Operation UKUTA

Lowassa ndio Mkombozi wa Watanzania walio wengi...! Muda wake ukifika Mungu atamwinua na hakuna wa kumzuia..!

Huyu mtu kuna jambo la kimungu analo na linamuongoza vyema
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Wakimkamata huyu Lowassa pengine ukuta utaanza siku hiyoyo, ndio utajua kuwa kweli alishinda kwa salimia 62. Watanzania bado wanaimani naye, ila sasa wananchungulia tu Magufuli anafanya nini kwanza. Lakini naona kama anachuja kwa haraka, sababu haji na mpya tena baada ya kutumbua vidagaa pale bandarini.
wewe umekula maharage ya wapi,,, hamna hoja mmeishiwa.
 
Na bado mnalalamika, oh dikteta oh demokrasia inabinywa, sijui nini na nini. Nyie ni lazimwa mbondwe na virungu tarehe moja ili mshike adabu. Eti ukuta, mssschww!
 
Huyu akijaribu ataburuzika sana wala hataamini kitakachomtokea siku hiyo.
 
Yaani Lowasa huyu aliyekuwa kila akipita anatisha,Akifika mahali anapokelewa na wakuu wote wa vikosi vya ulinzi na usalama na kupigiwa saluti toka kila upande Leo hii anapokelewa na BAVICHA!
Mwenyezi Mungu kamwadhibu barabara kwa dhambi alizowatendea watanzania walio wengi
Itafika siku hata Magufuli atakuwa anatembea na mlinzi tu kama ilivyo leo kwa Kikwete.
 
Back
Top Bottom