Msafirishaji
JF-Expert Member
- May 28, 2016
- 1,802
- 2,867
Kila siku mwisho huo liniMwisho wake kisiasa umewadia
Kila siku mwisho huo liniMwisho wake kisiasa umewadia
Ulilishwa nini hadi unaandika uliyoandika?Wakimkamata huyu Lowassa pengine ukuta utaanza siku hiyoyo, ndio utajua kuwa kweli alishinda kwa salimia 62. Watanzania bado wanaimani naye, ila sasa wananchungulia tu Magufuli anafanya nini kwanza. Lakini naona kama anachuja kwa haraka, sababu haji na mpya tena baada ya kutumbua vidagaa pale bandarini.
Me naona ndo mwanzo mpyaMwisho wake kisiasa umewadia
najiuliza kama lowassa atakuwa mstari wa mbele tarehe 1 septemba
Ndio maana mnamwiga?Leo ameingia kanisa gai? Maana jana alikuwa KKKT
Virungu vya plastiki kavu vya kuadhibia bila kuvunjika vitakavyotumika siku pendwa, unadhani ni nani mmiliki wake?Usiache pia kujiuliza siku ya kupambana na UKUTA Magufuli atakuwa mstari wa mbele kugonga virungu?.
Sifa unayompa hailingani na mtu mwenyewe.Ha ha haa!..huyu jamaa ni fighter
Mchumia tumbó weeMwisho wake kisiasa umewadia
Wakimkamata huyu Lowassa pengine ukuta utaanza siku hiyoyo, ndio utajua kuwa kweli alishinda kwa salimia 62. Watanzania bado wanaimani naye, ila sasa wananchungulia tu Magufuli anafanya nini kwanza. Lakini naona kama anachuja kwa haraka, sababu haji na mpya tena baada ya kutumbua vidagaa pale bandarini.
KKKT ndiyo madhehebu yake, ulitaka akasali kwa Lusekelo Mzee wa Upako?Leo ameingia kanisa gai? Maana jana alikuwa KKKT
Poa dadaSifa unayompa hailingani na mtu mwenyewe.
Mpya hapate wapi hana maono huyu.anafikiria kuendeleza nchi nikusisitiza kusema nchi ya viwanda.basi viwanda vitajengwaWakimkamata huyu Lowassa pengine ukuta utaanza siku hiyoyo, ndio utajua kuwa kweli alishinda kwa salimia 62. Watanzania bado wanaimani naye, ila sasa wananchungulia tu Magufuli anafanya nini kwanza. Lakini naona kama anachuja kwa haraka, sababu haji na mpya tena baada ya kutumbua vidagaa pale bandarini.
Swali la maingi sana. Na huyo ndiye tunayemtafuta
Bado kidogo hawajamaa uchwara watapiga marufuku mpaka mikutano ya ndani.Mh Edward lowassa akiwa katika Mkutano wa ndani MBEYA vijijini muda huu akiendelea na ziara ya Kujenga UKUTA na kazi ya chama ndani ya chama .
View attachment 385614 View attachment 385612