Rugaiyulula
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,524
- 1,705
Yaani Lowasa huyu aliyekuwa kila akipita anatisha,Akifika mahali anapokelewa na wakuu wote wa vikosi vya ulinzi na usalama na kupigiwa saluti toka kila upande Leo hii anapokelewa na BAVICHA!
Mwenyezi Mungu kamwadhibu barabara kwa dhambi alizowatendea watanzania walio wengi
Kwani Kikwete, Mkapa, Mwinyi. bado wanapokelewa na Mizinga???
Somo la itifaki natamani liwe la lazima kwa kila raia wa nchi hii