Wandugu,
Nimehabarishwa na mdau mmoja aliyepo Shinyanga Mjini kwamba Rais mtarajiwa mheshimiwa sana Edward Lowassa ameandaliwa mapokezi mazito leo hii Mjini Shinyanga ikiwa ni maandalizi ya harambee ya kuchangia ujenzi wa kanisa ambapo yeye ndiye mgeni rasmi. Wadau wa JF waliopo huko ebu fuatilieni nyendo za kiongozi huyu na kutumwagia nyepesinyepesi hapa jamvini.
Je huyu Lowasa anamkataba na watanzania baada ya kikwete yeye ndiye awe raisi wetu