Mgombea Urais wa UKAWA Edward Lowassa leo atakuwa na kipindi maalum ITV saa 3 usiku kitakachokuwa kinazungumzia maisha yake,utendaji wake na ni nini atawafanyia wananchi akiingia Ikulu.
Edward Lowassa anayetarajiwa kupata ushindi mkubwa kwenye uchaguzi mkuu Oktoba atazungumziwa katika kipindi kinachoitwa HUYU NDIYE LOWASSA.Kipindi hicho kinatayarishwa na mtangazaji mashuhuri Sam Mahela.
Kipindi hicho kitatangazwa muda huo huo kupitia Radio One kwa wale ambao hawatatazama Luninga.
Watanzania wanatakiwa kutokukosa kutazama kipindi hiki.
Edward Lowassa anayetarajiwa kupata ushindi mkubwa kwenye uchaguzi mkuu Oktoba atazungumziwa katika kipindi kinachoitwa HUYU NDIYE LOWASSA.Kipindi hicho kinatayarishwa na mtangazaji mashuhuri Sam Mahela.
Kipindi hicho kitatangazwa muda huo huo kupitia Radio One kwa wale ambao hawatatazama Luninga.
Watanzania wanatakiwa kutokukosa kutazama kipindi hiki.