roho mbaya inakusumbua
Tusi kubwa la faizafoxyPunguani wahed.
Dah kwa hiyo hapa mkuu unamaanisha mwenye nywele zake nyeupe ndiye kafanya haya yote ?Ukitaka kujua roho mbaya ilivyo tazama kucha za vidoleni na Nywele zake Mwakyembe pia Tathmini Afya ya Mzee Prof Mwandosya
Kama sio watu wako wa karibu muulize Kubenea kadhia ya kukoswa koswa kupofushwa Macho kwa kumwagiwa Tindikali wakati wa Kashfa ya Richmond
Pohamba vinavyokuendesha leo ni chuki binafsi na siyo vinginevyo. Je hayo unayosema leo ukiambiwa udhibitishe utaweza? tufanye siasa lakini siyo siasa nyepesi kama pamba unazotaka kufanya wewe.Ukitaka kujua roho mbaya ilivyo tazama kucha za vidoleni na Nywele zake Mwakyembe pia Tathmini Afya ya Mzee Prof Mwandosya
Kama sio watu wako wa karibu muulize Kubenea kadhia ya kukoswa koswa kupofushwa Macho kwa kumwagiwa Tindikali wakati wa Kashfa ya Richmond
Mbona sizonje hajekwenda kutoa pole??au lugha ya malkia?Anybody can sign kitabu cha maombolezo. Acha pumba zako zisizo na mashiko
Afisa Habari unafuatilia sana habari za Mgombea wako aliyekataliwa na CCM na Wananchi pia. Lakini promo ya kwenye JF haitasaidia kitu Kabisa. UKAWA haupo tena na katu hamtaibuka!! Ndio imetoka hiyo labda 2055Waziri mkuu mstaafu na mjumbe wa kamati kuu Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mh. Edward Lowassa leo jumamosi ya tarehe 3 Disemba amezuru katika Ubalozi wa Cuba na kuungana na viongozi wengine duniani kulipa pole taifa la Cuba kwa kuondokewa na muasisi wake na rais wake wa kwanza Ndugu Fidel Castro.
TrueUsishangae ubalozi wa cuba nchini Tanzania ukifungwa .