Testar
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 7,461
- 12,216
Alikufanya nini cha siri ambacho umma haujui?Watu waovu ndo style yao ku-pretend watakatifu,siku ukisikia anayoyafanya huwezi kuamini abadani.
Alikufanya nini cha siri ambacho umma haujui?Watu waovu ndo style yao ku-pretend watakatifu,siku ukisikia anayoyafanya huwezi kuamini abadani.
Huyu mzee ni mtu wa watu sana aisee..Tuweke siasa pembeni, huyu mzee ana utu wa pekee na ni vyema tujifunze kwake kwa mambo mbalimbali.
Mzee yuko CUba.
View attachment 442327
Cuba hapo wwSiyo ubalozi wa Cuba, Tanzania?
Kamanda nimepita tuu. No commentWatu waovu ndo style yao ku-pretend watakatifu,siku ukisikia anayoyafanya huwezi kuamini abadani.
Ubalozi wa cuba Tz acha ujingaMzee yupo cuba
Watu waovu ndo style yao ku-pretend watakatifu,siku ukisikia anayoyafanya huwezi kuamini abadani.
Ndo penyewe hapo FF..Siyo ubalozi wa Cuba, Tanzania?
Watu waovu ndo style yao ku-pretend watakatifu,siku ukisikia anayoyafanya huwezi kuamini abadani.
Ndo nini sasa tueleze alichokifanya na cha kujifunza ni kipi.............................umeniudhi sana japo nampenda Lowassa ila sio kwa uandishi namna hii
Edward Lowassa Amezuru katika ubalozi wa Cuba Kuwapa pole Wananchi wa nchi hiyoWaziri mkuu mstaafu na mjumbe wa kamati kuu Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mh. Edward Lowassa leo jumamosi ya tarehe 3 Disemba amezuru katika Ubalozi wa Cuba na kuungana na viongozi wengine duniani kulipa pole taifa la Cuba kwa kuondokewa na muasisi wake na rais wake wa kwanza Ndugu Fidel Castro.
Mahaba yakizidi unakuwa ujinga na utumwa, sasa kuhudhuria mazishi ndio kigezo cha kuwa MTU wa watu?? Hebu bhana kuweni waelewa, isijetokea siku aonekane akila Chakula muanze kumpongeza!!
roho mbaya inakusumbuaUtu wa Mwanasiasa haupimwi wakati wa Kutongoza kura ukitaka kujua Utu wa huyo Mtu mtathmini Jeuri yake akiwa Waziri Mkuu,
alishawahi kuingilia mpaka ujenzi wa barabara ya Sam Nuyoma kwa kuagiza wapi pa kuweka mitaro na wapi pia kuchimba mifereji kwny Ziara zake za kustukiza mpaka Yule Mkandarasi Singasinga akawa anashangaa.
Ndie alieasisi utaratibu wa kudhalilisha Viongozi wa chini kwny Mikutano ya hadhara na aliwahi kukwaa Kisiki kwa Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana 2006 aliemwambia usinifundishe Kazi nimeanza kuwa DC 1969 wakat wa Mwl ukiwa bado upo Shule ya Msingi.
Siku hizi kapoa sana kwa kuwa Hana Madaraka na anavizia vizia kura. Kiongozi wa Ngazi za Juu aliekuwa Mnyenyekevu wa zama zote tangu akiwa Madarakani hapa Nchini ni Mzee Ally Hassan Mwinyi pekee