ANC-KWA ZULU NATAL
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 325
- 37
By bucho
Hakuna kiongozi imara,mfanyakazi hodari kama lowassa. Amefanya mambo mengi makubwa mazuri ambayo hakuna kiongozi wa sasa hivi anayeweza kufanya. Pili sio muoga kuamua jambo kwa manufaa ya hii nchi hata kama jambo ni gumu kiasi gani lowassa analitatua. Wote wanaompinga wana chuki za kisiasa.
NA HUYU NDIO RAISI WETU TANGANYIKA INAYOMUHITAJI KWA SASA.
TEAM LOWASSA 2015.
Amesimamia ujenz wa shule za sekondari nchini..alhakksha hstoria ya shda ya maji katka mikoa ya kanda ya ziwa kama mwanza,geita na shnyanga ina futka kwa kupambana na serkali ya misri na kufanikiwa kuvuta maji toka ziwa vctoria kusambaza katka mikoa hii kwa kauli yake ninayoikumbuka"ZIWA NI LETU MISRI INASEMA NI MALI YAO HATUKUBALI WANANCHI WAPATE SHDA YA MAJI NA SISI NDIO WENYE CHANZO CHA MAJI" adi kupelekea msri kutaka kuvunja uhusiano na tz kama wanavyotka kuitshi ethiopia ambao nao wamepata majasri kama lowasa wanataka kuvuta maji ya mabawa ya umwagiliaji mto nile msri inawatsha...ma presdent is lowasa 12015