Wanajamvi habari,baada ya mteule huyu wa Mwigulu Nchemba mwenye jukumu la kuhamasisha watanzania wanyonge kulipa kodi kwa hiari kupost jokes,wanyonge wamemuelewa tofauti hali iliyopelekea kufunga comments kwenye post hiyo...raia hawataki jokes
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.