mbongopopo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2008
- 1,611
- 759
eti mnaonaje
saa zingine mtu unaingia humu unakuta thread ina replies nyingi
kama wengine tusio na muda kama mimi vigumu kusoma zote(kila posti) au kuona kama mwanzishaji kaongeza majibu ambayo anaulizwa
mie naona vizuri kama unaona wengi wanauliza basi nenda edit orijino post ongeza ma sentesi ili wengine wasiulize tena
au?
saa zingine mtu unaingia humu unakuta thread ina replies nyingi
kama wengine tusio na muda kama mimi vigumu kusoma zote(kila posti) au kuona kama mwanzishaji kaongeza majibu ambayo anaulizwa
mie naona vizuri kama unaona wengi wanauliza basi nenda edit orijino post ongeza ma sentesi ili wengine wasiulize tena
au?