ECOWAS wameonyesha njia

ECOWAS wameonyesha njia

EAC waroho wa madaraka ni wengi yani hamna wa kumsema mwenzie..wengi wao wanaingia madarakani kwa janjajanja
 
Katika hyo listi nani atamfunga paka kengele,maana wote wanamadudu yanayoshabihiana ukienda kwa nkuruzinza majanga,kagame ndo mafia mkuu museven naye walewale,kabila ndo lahaulaa,shein hana afadhali raisi wa magumashi,salva kir tiamaji tiamaji,kenyata the goon himself,magufuli (no comment).sasa hapo nani atakayemshupalia mwenzie
 
Hii kitu waliyofanya ECOWAS kuhusu Gambia na Jammeh yaweza kuwa dawa sahihi kwa ving'anizi wa madaraka. Hivi EAC yaweza thubutu kukaa nakufikiri hatua kama hii?
Wajumbe wake ni hawa wafuatao:
  1. John Pombe Magufuli wa Tanzania
  2. Ali Mohamed Shein wa Zanzibar (bila kujali ni nchi au sio nchi)
  3. Uhuru Kenyata wa Kenya
  4. Yoweri Mseven wa Uganda
  5. Paul Kagame wa Rwanda
  6. Piere Nkurunziza wa Burundi
  7. Salvakil Muruzi wa South Sudan
  8. Lakini kuna na jirani yetu Joseph Kabia wa DRC
Hakuna kitu hapa, mimi Kagame mnanijua, magufuli ndio huyo, uhuru hamjasoma? Achilia mbali Yoweri, Kiri na Mburundi
 
FB_IMG_1484846608611.jpg
 
Back
Top Bottom