Tatizo lenu nyie mmekalilishwa vibaya. Kama wewe umewahi kuishi nje ya nchi utanielewa, ila kama umekulia bongo tu basi utakuwa hunielewi. Mimi ninachomaanisha hapa ni hivi nchi ikiwa na umoja, na kiongozi/viongozi waadilifu economic hitman hawawezi kuharibu uchumi hata kidogo. Kinachotokea kt ya hizo financial institutions ni fair game tu. Hao economic hitman ni informal bodies that operate under the umbrella of those said financial institutions, lakini kikubwa lazima pawe na weakness ktk serikali, yaani serikali ijae wapiga dili kama akina lowasa. Mbona Rwanda wameweza? Mbona China wameweza? Mbona Ethiopia hao wameweza (tena kuongezea kuna jamaa zangu waethipia wao ukileta uanaharakati kama wa chadema wanakutupa mabwemapande), mbona wajapan wameweza? Hiyo mifano yenu ya amerika ya kusini haifanani na mazingira tuliyonayo kwa sasa, labda kama rais angekuwa lowasa hapo ningekubaliana na ninyi. Nchi nyingi za amerika ya kusini zinaongozwa na magenenge kama lile la lowasa (mfano mdogo tu, nina jamaa yangu ni mmexico anasema rais aliyepo sasa kaingizwa na watu wa madawa, na mpaka kipindi hiki serikali yake inakshfa kibao, na wao wanaendelea kulainisha mioyo ya watu kwa kuwapatia zawadi kam tv wananchi masikini, na mbinu aliyoingia nayo madarakani iko sawa kabisa na mbinu za lowasa alizotumia. In short mnahitaji kuuvaa utanzania ndiyo mtanielewa.