Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,550
- 3,092
kwa kifupi anasema kua wanawake wana madharau. anatoa mfano ambapo mtu anaweza kukutana na mwanamke, wakaanza urafiki, urafiki huo ukabadilika kua mapenzi na mapenzi yenyewe yakafungua njia kwa wapenzi hao kuanza kuona future ya pamoja katika ndoa. Then mnatamkiana promises, na mnaanza kujipanga (it is important that you understand walipitia all this process where the relation matures and this took time). then mwanamke anakudharau ghafla kwa kukubwana na kuondoka zake na mtu mwengine just because huyo kakuzidi hela (I take it there was no maturing process here). Ni hayo tu.
Nimekusoma mama.