Ebu skia hii!!

Ebu skia hii!!

kwa kifupi anasema kua wanawake wana madharau. anatoa mfano ambapo mtu anaweza kukutana na mwanamke, wakaanza urafiki, urafiki huo ukabadilika kua mapenzi na mapenzi yenyewe yakafungua njia kwa wapenzi hao kuanza kuona future ya pamoja katika ndoa. Then mnatamkiana promises, na mnaanza kujipanga (it is important that you understand walipitia all this process where the relation matures and this took time). then mwanamke anakudharau ghafla kwa kukubwana na kuondoka zake na mtu mwengine just because huyo kakuzidi hela (I take it there was no maturing process here). Ni hayo tu.

Nimekusoma mama.
 
Poa ila inachukua muda kumpata kama yule!!
ukishasema hiyo kauli, kwenye red jua umekuwa na unakwenda stage ingine mpya katika maisha yako, la muhimu muombe Mungu katika stage hiyo uliyopo sasa hivi akuondoshee maumivu ya moyo, na akutimizie haja ya moyo wako kwa kukupa yule mwenye kheri na wewe, atakayekujali, kukuthanini na kukupenda juu ya kipato chako kidogo. Kila la kheri.
 
Labda si dharau ni upya ulikuwa unakuzuzua....si wajua kipya kinyemi??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom