​Huwa nawashangaa sana watu wanaosema dagaa ni mboga. Lakini sawa tu bora liende, kuna jamii nyingine dagaa ni chakula cha nyau.
Tatizo la wahaya ndiyo hili,ghafla jukwaa limeshakuwa Bukoba forum.
Mkuu no. 1 na 2 ni maharage au msholo? No. 2 na 3 imechanganywa na mchuzi wa mawese?
Oyaaaaa wivu huo
Tatizo la wahaya ndiyo hili,ghafla jukwaa limeshakuwa Bukoba forum.