Bukoba kwetu hiyoooo hapana chezea enyoloba
Hawa wajamaa wa bkb wananikosha sana na staili yao ya ulaji.Mbona naona dagaa tu? Nsenene je?
Iwe,deka!
aisee umeniumbusha buoba.. mwaa juzi juzi tu hapo wakati namalizia high school nilienjoy sana maisha ya ndizi 4 kwa shs 100!!!
wahaya wako na roho nzuri sana kwa wageni ambao ni talkative and charming...!
Kuna mdada mmoja hivi bila uniona during weekends alikuwa hajisikii amani kabisa!!!
Maisha ya Bk yako fair sana! si magumu kama mikoa mingine!
Nimeipenda ile plate ya kwanza kabisa, full diet!
Je ingekuwa ni mboju badala ya dagaa? Kwa kumbukumbu nilizonazo dagaa ni mboga iliyoanza kutumiwa na wahaya kwenye miaka ya 70 kama ilivyo sangara kwenye miaka ya 80. Chakula bora cha asili cha wahaya ni ndizi ikichanganywa na maharage meupe, mboju au nshonzi au ngege au ningu au mpaja n.k.