EBay testimonial...!!!

EBay testimonial...!!!

una itumiaje iyo address na wewe upo tanzania... na gharama ya kujiunga na fedex na myus ni kiasi gani kwa mwezzi au mwaka... wewe flash ime kughalimu kiasi gani kuisafilisha tu hachana na kuinunua....

Wakikupa adress maana yake mzigo utakaotumwa kupitia adress waliokupa wao mzigo utafikia kwao then wanakupa taarifa kua kuna package yako wamepokea
Then myus ndio wankutumia ww mzigo wako popote ulipo
 
Hapa kidogo hatupo sawa!
Kodi ipo mkuu mie mwenyewe mhanga wa hili ila tu kuna baadhi ya items ndogondogo (simu, tablet, hhd nk) ndio hazina kodi.

Mzigo wangu nimetumiwa na hao hao myus kuna iterms 8 ndani ya package 1 upo tra mpak muda huu japo nishafanya clearence tayr nasubiri mzigo kutoka.
Kodi ni allmost 40% ya kila iterm kwenye package kilichonisaidia price ya kila iterm iliomo kwenye invoice sio actual purchased price zaidi ya hapo ningeumia mana mzigo wa 256 usd costum duties ni 271,000 tsh!!!!

Sishauri mtu kutumia fedex hawa jamaa hawafai na hawapo tayari kukusaidia chochote zaidi ya kukukandamiza

Prohibited Items List by Country (What You Can’t Ship)
How Do You Calculate Duties & Taxes When Shipping Internationally?
International Shipping Calculator | Shipping from USA
 
kwa sasa kuna tatizo la mizigo kutoka USA kwa njia ya USPS kutofika Tanzania kabisa au huenda inafika ila hautufikii walengwa!
Nimeagiza mizigo kama miwili naishia kupewa refund baada ya kusubiri kitu hewa zaidi ya siku arobaini
Huu ni usumbufu mkubwa sana maana kati ya hizo bidhaa moja ilikua Adaptor ya Laptop maana yake hiyo laptop imeshindikana kutumika zaidi ya siku arobaini na package haijafika maana yake siwezi agiza tena itabidi ninunue hapa hapa bongo kwa gharama kubwa zaidi!

sijui wengine mna experience hicho kitu?
 
Hapa kidogo hatupo sawa!
Kodi ipo mkuu mie mwenyewe mhanga wa hili ila tu kuna baadhi ya items ndogondogo (simu, tablet, hhd nk) ndio hazina kodi.

Mzigo wangu nimetumiwa na hao hao myus kuna iterms 8 ndani ya package 1 upo tra mpak muda huu japo nishafanya clearence tayr nasubiri mzigo kutoka.
Kodi ni allmost 40% ya kila iterm kwenye package kilichonisaidia price ya kila iterm iliomo kwenye invoice sio actual purchased price zaidi ya hapo ningeumia mana mzigo wa 256 usd costum duties ni 271,000 tsh!!!!

Sishauri mtu kutumia fedex hawa jamaa hawafai na hawapo tayari kukusaidia chochote zaidi ya kukukandamiza

Prohibited Items List by Country (What You Can’t Ship)
How Do You Calculate Duties & Taxes When Shipping Internationally?
International Shipping Calculator | Shipping from USA
 
Habari wakuu,
Natumai mu wazima. Kwanza nitoe shukrani zangu za dhati kwa mkuu chief mkwawa kwa ule uzi wake kuhusu how to activate PayPal account. Kwa mimi nilishajiunga paypal kitambo simce 2012 na ever since nimekua nikifanya online transactions marakwa mara. Wengi huogopa kwa kuhisi wanaweza tapeliwa ila this is my testimony na mzigo huu nimeupokea leo, nlinunua EBay.View attachment 570121View attachment 570122View attachment 570123View attachment 570124

Sent using Jamii Forums mobile app
Bro naomba nchek kwa 0657667060 nkuulze baadh ya vtu
 
kwa sasa kuna tatizo la mizigo kutoka USA kwa njia ya USPS kutofika Tanzania kabisa au huenda inafika ila hautufikii walengwa!
Nimeagiza mizigo kama miwili naishia kupewa refund baada ya kusubiri kitu hewa zaidi ya siku arobaini
Huu ni usumbufu mkubwa sana maana kati ya hizo bidhaa moja ilikua Adaptor ya Laptop maana yake hiyo laptop imeshindikana kutumika zaidi ya siku arobaini na package haijafika maana yake siwezi agiza tena itabidi ninunue hapa hapa bongo kwa gharama kubwa zaidi!

sijui wengine mna experience hicho kitu?
Mimi mzigo wangu kutoka Rochester umechukua siku 24 kunifikia wakati awali ilikuwa siku 10 na ukichelewa ni siku 15.
Sijui kuna tatizo gani?
Kuna Jamaa USA kaniambia zamani ilikuwa inapitia Dubai ila sasa Saudia huenda route mpya ni shidaa
 
kwa sasa kuna tatizo la mizigo kutoka USA kwa njia ya USPS kutofika Tanzania kabisa au huenda inafika ila hautufikii walengwa!
Nimeagiza mizigo kama miwili naishia kupewa refund baada ya kusubiri kitu hewa zaidi ya siku arobaini
Huu ni usumbufu mkubwa sana maana kati ya hizo bidhaa moja ilikua Adaptor ya Laptop maana yake hiyo laptop imeshindikana kutumika zaidi ya siku arobaini na package haijafika maana yake siwezi agiza tena itabidi ninunue hapa hapa bongo kwa gharama kubwa zaidi!

sijui wengine mna experience hicho kitu?

Mkuu hii refund unatumiwa kwa paypal au bank ac?
Mana naskia paypal huwezi hamisha pesa zako kwenda kwenye bank ac. Kwa hapa kwetu tz.
Refund inaweza kutumika kupurchase anything?
 
kwa sasa kuna tatizo la mizigo kutoka USA kwa njia ya USPS kutofika Tanzania kabisa au huenda inafika ila hautufikii walengwa!
Nimeagiza mizigo kama miwili naishia kupewa refund baada ya kusubiri kitu hewa zaidi ya siku arobaini
Huu ni usumbufu mkubwa sana maana kati ya hizo bidhaa moja ilikua Adaptor ya Laptop maana yake hiyo laptop imeshindikana kutumika zaidi ya siku arobaini na package haijafika maana yake siwezi agiza tena itabidi ninunue hapa hapa bongo kwa gharama kubwa zaidi!

sijui wengine mna experience hicho kitu?

Mkuu hii refund unatumiwa kwa paypal au bank ac?
Mana naskia paypal huwezi hamisha pesa zako kwenda kwenye bank ac. Kwa hapa kwetu tz.
Refund inaweza kutumika kupurchase anything?
 
Habari wakuu,
Natumai mu wazima. Kwanza nitoe shukrani zangu za dhati kwa mkuu chief mkwawa kwa ule uzi wake kuhusu how to activate PayPal account. Kwa mimi nilishajiunga paypal kitambo simce 2012 na ever since nimekua nikifanya online transactions marakwa mara. Wengi huogopa kwa kuhisi wanaweza tapeliwa ila this is my testimony na mzigo huu nimeupokea leo, nlinunua

Uliagiza mzigo wa kilo ngapi?
My us uliwalipa sh ngapi?
 
Mkuu hii refund unatumiwa kwa paypal au bank ac?
Mana naskia paypal huwezi hamisha pesa zako kwenda kwenye bank ac. Kwa hapa kwetu tz.
Refund inaweza kutumika kupurchase anything?
Kuna tofauti ya kupokea malipo kutoka paypal kuja bank na kurudishiwa hela ambayo ushatuma!
Hela ukirudishiwa(Refund) inarudi kwenye account yako ya Bank ambako hela ulikatwa.

Ili TZ tupokee malipo lazima authoritirs ziruhusu maana nafikiri authorities zetu hazijaweka namna ya kubana issues kama money laundering kwa hela ambaxo zitalipwa kwa PayPal.
Mfano kuna mtu Kenya alinambia wameweka limit ya kiwango cha pesa ambacho unaweza amisha kutoka PayPal kuja.Ukizidisha hapo lazima wakuhoji hiyo pesa unapata wapi.

Hivo Kulipwa hela ukiwa TZ kwa njia ya PayPal haiwezekani kabisa labda ufungue paypal na u fake adress utumie e.g ya USA hela itaingia ilakwa kuwa hauna kadi hautoweza kuifanyia kitu maana Account yako itakua unverified.
 
nilinunua tshirt kutoka ebay,gharama yake ilikua tsh 23,000+free shipping,baada yakufanya malipo nilikuta nimekatwa 40000 kwenye bank account yangu,mbaya zaidi email nlioitumia haikua na jina langu kamili(fake name).baada ya kama wiki 3 niliwasiliana na seller akaniambia mzigo ushafika ila nlikua nimesafiri,nilivyorudi (baada ya mwezi mmoja baada ya mzigo kufika) nlienda posta na namba ya mzigo ambayo nilipewa baada tu kufanya malipo ya mzigo,varangati lilianza kwenye kutoa kitambulisho chenye jina ambalo linaendana na email niliotumia kununua mzigo ambapo nilitumia fake name,kidogo nifungwe, amna mtu aliyenielewa pale posta,nilionekana kama mwizi baada ya varangati kubwa nikapewa mzigo,kiufupi quality ya mzigo(tshirt) ilikua mbaya sanaa sijawai kuivaa mpaka leo ipo kabatini.kwaushauri, kwa upande wa mavazi ni bora unununue hapa bongo ambapo unaweza kuikagua kwa umakini zaidi bidhaa yako kabla haujainunua,nimeangalia youtube watu walionunua mavazi online wanavyolalamikia low quality ya mavazi walionunua kwa gharama kubwa.and that's my ebay testimony

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nilinunua tshirt kutoka ebay,gharama yake ilikua tsh 23,000+free shipping,baada yakufanya malipo nilikuta nimekatwa 40000 kwenye bank account yangu,mbaya zaidi email nlioitumia haikua na jina langu kamili(fake name).baada ya kama wiki 3 niliwasiliana na seller akaniambia mzigo ushafika ila nlikua nimesafiri,nilivyorudi (baada ya mwezi mmoja baada ya mzigo kufika) nlienda posta na namba ya mzigo ambayo nilipewa baada tu kufanya malipo ya mzigo,varangati lilianza kwenye kutoa kitambulisho chenye jina ambalo linaendana na email niliotumia kununua mzigo ambapo nilitumia fake name,kidogo nifungwe, amna mtu aliyenielewa pale posta,nilionekana kama mwizi baada ya varangati kubwa nikapewa mzigo,kiufupi quality ya mzigo(tshirt) ilikua mbaya sanaa sijawai kuivaa mpaka leo ipo kabatini.kwaushauri, kwa upande wa mavazi ni bora unununue hapa bongo ambapo unaweza kuikagua kwa umakini zaidi bidhaa yako kabla haujainunua,nimeangalia youtube watu walionunua mavazi online wanavyolalamikia low quality ya mavazi walionunua kwa gharama kubwa.and that's my ebay testimony

Sent using Jamii Forums mobile app

mwenyewe kuna suruali kwenye picha lilikua linaonekana la ukweli ila liliponifikia sikuwa na hamu kabisa!
kununua mavazi eBay ni majanga sometimes!
 
mwenyewe kuna suruali kwenye picha lilikua linaonekana la ukweli ila liliponifikia sikuwa na hamu kabisa!
kununua mavazi eBay ni majanga sometimes!
Mkuu huku hukununua bwanga la kareti lakini???

Bythwy mm zaidi ya yote ninachohofia kununua mavazi ebay au popote pale mtandaoni ni kuselect size apo ndio naona mtihani. Kuna nguo nilishakaribia kuinunua amazon nikahairi wakati wa kuselect size
Inshort sijawahi bado kuagiza kivazi online
 
Back
Top Bottom