donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,129
Habari wakuu,
Natumai mu wazima. Kwanza nitoe shukrani zangu za dhati kwa mkuu chief mkwawa kwa ule uzi wake kuhusu how to activate PayPal account. Kwa mimi nilishajiunga paypal kitambo simce 2012 na ever since nimekua nikifanya online transactions marakwa mara. Wengi huogopa kwa kuhisi wanaweza tapeliwa ila this is my testimony na mzigo huu nimeupokea leo, nlinunua EBay.
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumai mu wazima. Kwanza nitoe shukrani zangu za dhati kwa mkuu chief mkwawa kwa ule uzi wake kuhusu how to activate PayPal account. Kwa mimi nilishajiunga paypal kitambo simce 2012 na ever since nimekua nikifanya online transactions marakwa mara. Wengi huogopa kwa kuhisi wanaweza tapeliwa ila this is my testimony na mzigo huu nimeupokea leo, nlinunua EBay.
Sent using Jamii Forums mobile app