drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
Wakuu tuache ushabiki...Easy wapo muda mrefu na local channels zote..TBC,CH10,ITV,EATV,CAPITAL,STAR TV,,MLIMANI,CLOUDS na TVZ zinapatikana,pia international kama CNN,BBC Al Jazeera wamo,KBC,KTN,CITIZEN,UBC nk...pia ina channel za movie 5 na MTV musics,Dubai sports,Emmanuel TV etc..decoder ipi nyingine inakupa hizo channel zote kwa tshs 9,000 kwa mwezi?
hapo umenena mkuu hawa wana chanel nyingi nashangaa hawa startime wanashindwa nn kuweka hizi local chanel