Methyl phenol
Senior Member
- Jul 22, 2021
- 184
- 272
Najuta kuchukua star X , of course iko vzur Quality HD, muonekano mzuri deep black (margin nzur + kioo) zote n deep black sio unakuta margin nyeus kuliko kioo ishort iko poa nadhan inafatia baada ya hizi zinazo tembelea brand name SAMSUNG, LG,HISENSE labda na SONY
Sasa kilichokuja kuniboa na kuni suprise n kwamba haina direct connection na SUBWOOFER yan huez connect nyaya moja kwa moja kutoka kwenye subwoofer mpaka kwa TV maana ina input tu haina outputs unless utumie king’amuzi daah nlikasilika nkajua tv mbovu nkarudisha dukan jamaa ndo kudai ivo kwamba version mpya ya star X zko ivo nami nkafatilia nkakonfem so ikabid nitulie tu
Coz ile tv n mpya till today inakaratas nkasema hata nkikurupuka kuuza ntapata hasara tu maana nlinunua kipind ambacho tv zko juu sana ila nahs ntaiuza ila sio sasa
Kwaio njia pekee ambayo inaeza kupa connection ya tv na subwoofer ni king’amuzi daah sasa hii ishu imeniboa sana coz mm nna mzuka na music yan imenikata stimu kabisa nlikua sna ata mpango na king’amuzi ila imenibidi nifanye hivyo nataka nichukue DSTV ili ata muda mwingne niwe naweka flash kwenye king’amuzi pale napata ile direct connection
So sad, nmeulizia tena naambiwa kwamba king’amuzi cha DSTV huwa kina sehem ya flash lakini huwa hai function?!
Et wajuzi hasa wa DSTV kuna ukweli wowote katika hili ??maana nazidi kuzima stimu
Sasa kilichokuja kuniboa na kuni suprise n kwamba haina direct connection na SUBWOOFER yan huez connect nyaya moja kwa moja kutoka kwenye subwoofer mpaka kwa TV maana ina input tu haina outputs unless utumie king’amuzi daah nlikasilika nkajua tv mbovu nkarudisha dukan jamaa ndo kudai ivo kwamba version mpya ya star X zko ivo nami nkafatilia nkakonfem so ikabid nitulie tu
Coz ile tv n mpya till today inakaratas nkasema hata nkikurupuka kuuza ntapata hasara tu maana nlinunua kipind ambacho tv zko juu sana ila nahs ntaiuza ila sio sasa
Kwaio njia pekee ambayo inaeza kupa connection ya tv na subwoofer ni king’amuzi daah sasa hii ishu imeniboa sana coz mm nna mzuka na music yan imenikata stimu kabisa nlikua sna ata mpango na king’amuzi ila imenibidi nifanye hivyo nataka nichukue DSTV ili ata muda mwingne niwe naweka flash kwenye king’amuzi pale napata ile direct connection
So sad, nmeulizia tena naambiwa kwamba king’amuzi cha DSTV huwa kina sehem ya flash lakini huwa hai function?!
Et wajuzi hasa wa DSTV kuna ukweli wowote katika hili ??maana nazidi kuzima stimu