Dah! thanx guys! yani ndo nlikuwa nataka kufunga kesho!! Kwa hyo whats da best: Star Times, TING and others which u know!???
Natumia Easy TV sasa kwa zaidi ya miaka miwili. Hawa wachina wapo safi sana na Antena zao zipo strong! Kuna jirani yangu ana Star times ni full chenga, halafu hapati local chanels!Wazushi na matapeli wakubwa walianza vizuri na channel nyingi baadaye ikawa inapotea mojamoja na hatimaye local zote zikapotea ukiwauliza wanatia longolongo nikaamua kuachana nao na hata kuna jamaa zangu walikuwa wanatumia wameshaachana nao. Na mashaka hata kama wanavalid license ya TCRA
Natumia Easy TV sasa kwa zaidi ya miaka miwili. Hawa wachina wapo safi sana na Antena zao zipo strong! Kuna jirani yangu ana Star times ni full chenga, halafu hapati local chanels!
Hadanganywi mtu hapa, tunaongea ukweli uliopo! Jaribu kutumia Easy TV ujionee, yaelekea wewe ni mgeni wa ving'amuzi! Bythen, Star temes ni ya mwaka jana tu, wakati Easy TV ipo kwa more than 5 years!acha kudanganya watu, hzo chenga ww umeziona wapi na star times? mpotoshaji mkubwa, pia local channels zipo clouds, tbc 1 n2, channel10,
Yeah, huwa unaisikia na kuona Matangazo ya Startimes,. EasyTV hawajitangazi, wanafanya kwa vitendo! they have got what you need from your TelevisionStar times inakimbiza!.hii easy tv ndo naisikia leo.
Kweli aisee!hapo umeongeaJamani Mnabishana KWA UMEME UPIIIIIIIIIIIII? TV imekuwa pambo la Show case...