jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Habari ndugu zangu..
Nahitaji kununua Flat Tv -32 inch .. ila naombeni ushauri wenu ni Tv ya kampuni gani ni nzuri kwa sasa kununua na ni vitu gani vya kuzingatia sana wakati na nunua . kwa sababu makampuni yamekua mengi ya kitengeneza Tv kila kukicha..
Bajeti yangu ni 450,000
Natanguliza shukrani za dhati..
Nahitaji kununua Flat Tv -32 inch .. ila naombeni ushauri wenu ni Tv ya kampuni gani ni nzuri kwa sasa kununua na ni vitu gani vya kuzingatia sana wakati na nunua . kwa sababu makampuni yamekua mengi ya kitengeneza Tv kila kukicha..
Bajeti yangu ni 450,000
Natanguliza shukrani za dhati..