Easy TV kulikoni?

Mimi mwenzenu nipo tofauti sana, huwa sina mzuka na hizi televisheni za bongo.

So far katika Easy TV kuna Channel Ten, TBC hizi zinatosha kwa vipindi vya kitanzania na taarifa za habari ukiongezea na Clouds na DTV huko wapenzi wa burudani wataendelea kuburudika.

Hao ITV, EATV na Capital wana lipi la maana mnalolikosa???
mkuu ishu hapa ni haki ya kupata tarifa na kutokana na sheria iliyopelekea kuhamia digital ni kua ni lazima local channel zionyeshwe kwa kila kingamuzi kinachoomba kufanya biashara labda niwe nimesikia tofauti
 
TCRA njoo utujibu hapa we si member humu
 
Last edited by a moderator:
Azam tv ndo habar ya mjini. Hao ipp na sahara media waendeleze ubinafsi wao, wala awatushitui...
 
Ofisi zao zipo pale Moroko, jengo ilipo zhonghua garden. Mbona kwangu channel za Mengi zipo? Ila star tv ndo iliondolewa kitambo sana.
Mkuu acha masihara hebu tuambie umefanyaje mpaka kwako zinaonekana
 
Easy TV wana ofisi zao kuu pale ilipo ZhongHua Garden Mikocheni (Victoria).

Mmiliki wake ni mzee mmoja wa Kichina na muda mwingi huwa anakuwepo hapo ofisini kwao.

kama ndio pale nimewahi fika mara kadhaa ila nawakosa, muda wangu ni jumamosi na wao siku hiyo wanachelewa kufungua na kuwahi kufunga. sio ishu sana maana ni weekend.

huduma kwa wateja pale wanapopata matatizo na kuhitaji kuuliza maswali mbali mbali kuhusiana na bidhaa yao tunawapataje. Wengi wetu tumejionea zile namba zao za simu hazipatikani muda mwingi sana. :sad:
 
Ofisi zao zipo pale Moroko, jengo ilipo zhonghua garden. Mbona kwangu channel za Mengi zipo? Ila star tv ndo iliondolewa kitambo sana.



kama ndio pale nimewahi fika mara kadhaa ila nawakosa, muda wangu ni jumamosi na wao siku hiyo wanachelewa kufungua na kuwahi kufunga. sio ishu sana maana ni weekend.

huduma kwa wateja pale wanapopata matatizo na kuhitaji kuuliza maswali mbali mbali kuhusiana na bidhaa yao tunawapataje. Wengi wetu tumejionea zile namba zao za simu hazipatikani muda mwingi sana. :sad:
 
Mkuu mimi sidhani kama Easy wana tatizo lolote na ndio maana tangu awali wamekuwa wakirusha matangazo hayo ya televisheni za IPP.

Pengine kwa sasa hawarushi kwa kuwa;

1. Kuna mabadiliko ya kimfumo

2. Kuna kuangalia upya mkataba baina ya televisheni za Mengi na Easy.

3. Labda Bw Mengi kaleta kibri kama kawaida yake.

4. Mengineyo.



mkuu ishu hapa ni haki ya kupata tarifa na kutokana na sheria iliyopelekea kuhamia digital ni kua ni lazima local channel zionyeshwe kwa kila kingamuzi kinachoomba kufanya biashara labda niwe nimesikia tofauti
 
Jumamosi na Jumapili huwa wanafunga ofisi zao kabla ya saa saba mchana, nadhani huwa wanafungua saa tatu au mbili asubuhi.

Hapo kwenye huduma kwa wateja sio siri kuna mapungufu maana huwa wana mhudumu mmoja tu pale ofisini wakizidi sana wawili na huwa wana fundi mmoja tu kwa emergencies.

kama ndio pale nimewahi fika mara kadhaa ila nawakosa, muda wangu ni jumamosi na wao siku hiyo wanachelewa kufungua na kuwahi kufunga. sio ishu sana maana ni weekend.

huduma kwa wateja pale wanapopata matatizo na kuhitaji kuuliza maswali mbali mbali kuhusiana na bidhaa yao tunawapataje. Wengi wetu tumejionea zile namba zao za simu hazipatikani muda mwingi sana. :sad:
 
Mkuu mimi sidhani kama Easy wana tatizo lolote na ndio maana tangu awali wamekuwa wakirusha matangazo hayo ya televisheni za IPP.

Pengine kwa sasa hawarushi kwa kuwa;

1. Kuna mabadiliko ya kimfumo

2. Kuna kuangalia upya mkataba baina ya televisheni za Mengi na Easy.

3. Labda Bw Mengi kaleta kibri kama kawaida yake.

4. Mengineyo.
Ni kweli mkuu inawezekana hayo uliyosema
 
mkuu ishu hapa ni haki ya kupata tarifa na kutokana na sheria iliyopelekea kuhamia digital ni kua ni lazima local channel zionyeshwe kwa kila kingamuzi kinachoomba kufanya biashara labda niwe nimesikia tofauti

Yeah umesikia tofauti..! Mbona DSTV hawaonyeshi? Ni kila king'amuzi kilichopewa kibali kwa mujibu wa sheria hiyo, navyo ni terrestrial (vinavyotumia antena). Vingamuzi vya satelite (vinavyotumia dish) kama DSTV, Azam Tv n.k havibanwi na sheria hiyo.
 
Yeah umesikia tofauti..! Mbona DSTV hawaonyeshi? Ni kila king'amuzi kilichopewa kibali kwa mujibu wa sheria hiyo, navyo ni terrestrial (vinavyotumia antena). Vingamuzi vya satelite (vinavyotumia dish) kama DSTV, Azam Tv n.k havibanwi na sheria hiyo.
Easy TV inatumia nini?
 
Mimi mwenzenu nipo tofauti sana, huwa sina mzuka na hizi televisheni za bongo.

So far katika Easy TV kuna Channel Ten, TBC hizi zinatosha kwa vipindi vya kitanzania na taarifa za habari ukiongezea na Clouds na DTV huko wapenzi wa burudani wataendelea kuburudika.

Hao ITV, EATV na Capital wana lipi la maana mnalolikosa???

same to me!
 
wewe hizo channel za mengi umeziona wapi. ni siku ya tano leo naona channel ten na TBC1 tu. hwa wazushi kweli.
Ofisi zao zipo pale Moroko, jengo ilipo zhonghua garden. Mbona kwangu channel za Mengi zipo? Ila star tv ndo iliondolewa kitambo sana.
 
Hizo channel hazina tamthilia nzuri kama isidingo ambayo inaonyeshwa na itv. Nimewauliza easy tv wamesema channel zitarudi baada ya wiki 2. Wasiporudisha nawarudishia king'amuzi chao
 
AZAM TV kiboko yao! Channel nzuri kibao! Hao ITV na Star tv walale mbele hawana issue.
 
Back
Top Bottom