mchome jr
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 599
- 748
Watu wa mwanza bhana...little exposure will help u guyz...!Karibu Capri Point: Rock City:
View attachment 442430
Watu wa mwanza bhana...little exposure will help u guyz...!Karibu Capri Point: Rock City:
View attachment 442430
Wikipedia?????!!!!!! Hebu acha kujiaibisha mkuu na viji source vya ku edit mtu yeyote mda wowote anaotaka.Kitambo wapi wakati hata kwenye ramani hampo ikitoka Dar Arusha ndio ina majengo marefu. Jiridhishe mwenyewe hapo List of tallest buildings in Tanzania - Wikipedia
Juzi mama Samia kaenda kufungua hii facility brand new ya UN huko Laki-Laki Arusha kaa ukiota ndoto za mchanaKwa kuwasaidia tu, baada ya mda mfupi Dodoma ina overtake Arusha kwa maana miji yote hii miwili inategemea nguvu za serikali mara makao makuu ya Afrika mashariki, (Arusha) mara Bunge (Dodoma) tofauti na Mwanza hakuna ujinga kama huo still ni second largest city. Sasa imagine nguvu zote now zinapelekwa Dodoma, Arusha itakuwa kama Mpanda very soon.
Nadhani ingekua the other way side..Watu wa mwanza bhana...little exposure will help u guyz...!
You see mara UN /Mara serikali bila hao there is no Arusha.Juzi mama Samia kaenda kufungua hii facility brand new ya UN huko Laki-Laki Arusha kaa ukiota ndoto za mchana![]()
Maihail ni consultant(African focus) kweli ila imechukuliwa na yule mwenye gold crest mwanza Mathias Manga ambae alikua ana jenga platinum hotel Arusha...jama ana deal na mambo ya migodiIle hotel jengo ni la PPF,aliyekodishiwa kwa mara ya kwanza alikuwa ni Mohammed msomali aliyekuwa na Paradise na City Garden na Taanso na Tansoma,aliposhindwa kuiendesha kwa namna moja au nyingine,kuna Consultant wake huyu Mohammed aliyekuwa anamiliki Bar ndani ya hyo hotel maan yule msomali hauzi pombe anaitwa Mihail Kirov mbulgaria ndiye ameikodishiwa sasa hivi,kwa hyo jina lazima aweke jina jipya mkuu!
Kwa muonekano unaona Hyatt inakamilika lini?Wakati ninaondoka mwaka jana(November) niliacha hotel hii ikiwa inatambulika kwa jina hilo EAST AFRICA HOTEL ila baada ya kurudi juzi Arusha nimeshangaa tena Hotel hiyo imebadilishwa jina na sasa inaitwa GOLD CREAST.
Sasa sijajua huu uchumi uligonga hodi kwenye hiyo hotel na kuuzwa ila yote ya yote tuachane nayo,nimependa sana ukuaji wa mji wa arusha hasa miundombinu nimekuta imeongezwa ikiwa ni sambamba na ujenzi wa barabara ya kutokea Moshi kuingia Arusha ila ikiwa bado ipo kwenye ujenzi (ila inakuja kuwa barabara atakayokuwa na viwango vya kipekee katika miji mikubwa hapa nchini.
Pili,nimeona ujenzi wa hotel mpya ya Hyatt Regency,Kijenge ni moja ya majengo yatakayoiweka Arusha kuonekana jiji la kipekee sana,pia kukamilika kwa jengo la PPF PLAZA kumefanya jiji lizidi kunoga kwa majengo mazuri.
Kiukweli mji huu kama utaendelezwa hivi naona kama unakuja kuupiku Mwanza tena kwa kasi ya ajabu ,kwa mawazo yangu (Mwanza kwa sasa inaizidi Arusha idadi ya watu ila miundombinu na majengo Arusha iko juu)
EAST AFRICA-GOLD CREAST
Tumejipanga mwaka huu tutaisoma.
Sio kila kitu unaweza kuedit Wikipedia na vinavyoeditiwa vinajulikana tofauti na official article kama huo ukweli mchungu.Wikipedia?????!!!!!! Hebu acha kujiaibisha mkuu na viji source vya ku edit mtu yeyote mda wowote anaotaka.
To cutt it short.. Mwanza will maintain to be the second largest city and Arusha will maintain to be East Africa's diplomatic capital. God bless Tanzania, Gos bless Arusha and Mwanza.Sio kila kitu unaweza kuedit Wikipedia na vinavyoeditiwa vinajulikana tofauti na official article kama huo ukweli mchungu.
Edit na wewe tuone na Mwanza yako...Wikipedia?????!!!!!! Hebu acha kujiaibisha mkuu na viji source vya ku edit mtu yeyote mda wowote anaotaka.
Wenzako kina slowly wanao ishi hapo Kona ya Nyegezi walijaribu dandia Treni Ya Arusha kwa mbele wakaishia kuvunjika...To cutt it short.. Mwanza will maintain to be the second largest city and Arusha will maintain to be East Africa's diplomatic capital. God bless Tanzania, Gos bless Arusha and Mwanza.
By the way Arsenal 1:0 Westham. Enjoy
Ile ya mwanza inabiashara hawezi kuacha istoshe iliwekeza hela nyingi sana kuna fununu kua bei ya pango zimepunguzwa ndio mana akachukua eastafricaHilo jengo linamilikiwa na PPF naona jamaa wa gold crest mwanza Mathias Erasto ameona Arusha ipo potential kubwa huenda ndio maandalizi ya kuipiga solex Ile ya mwanza.
Daah afu Gold Crest ile ya Mwanza walikua wanazusha ni ya mamvi,maisha haya...Ile ya mwanza inabiashara hawezi kuacha istoshe iliwekeza hela nyingi sana kuna fununu kua bei ya pango zimepunguzwa ndio mana akachukua eastafrica
Nadhani mwezi Agost 2016 watakuwa wanamalizia jengo wako mbali sasa hivi.Kwa muonekano unaona Hyatt inakamilika lini?
Tupe picha ..Nadhani mwezi Agost 2016 watakuwa wanamalizia jengo wako mbali sasa hivi.