mchome jr
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 599
- 748
Mkuu wa chuo lazima apinge...!ila ukweli anaujua...!Mkuu wa chuo nikihesabu hapo naona ni 15 zipo juu....
Mkuu wa chuo lazima apinge...!ila ukweli anaujua...!Mkuu wa chuo nikihesabu hapo naona ni 15 zipo juu....
Labda ukianza floor ya chini uweke na kale ka juu... ukienda pale lift inapopanda zipo labeledMkuu wa chuo nikihesabu hapo naona ni 15 zipo juu....
Nenda kaangalie fresh...Mkuu wa chuo lazima apinge...!ila ukweli anaujua...!
Endeleeni kuota.Kwa kweli mwanza hapawezi kuchukua nafasi ya Arusha labda kidogo wawabane singida.
mwanza kuna nn ww? Jiji lmepanuka sana ila mitaa imechoka mno!
Ziwa tu ndo linaiweka kwenye dira!
Kuota kitu gani sasa, Mwanza kwa Arusha mtasubiri miaka 200..Endeleeni kuota.
Mkuu huyo mzungu ameshindwa kurun hotel imechukuliwa na anaendesha goldcrest mwanza,shida ya hizi nyumba ni rent kubwa kuendesha biashara hapo lazma uwe na mtaji mkubwaIle hotel jengo ni la PPF,aliyekodishiwa kwa mara ya kwanza alikuwa ni Mohammed msomali aliyekuwa na Paradise na City Garden na Taanso na Tansoma,aliposhindwa kuiendesha kwa namna moja au nyingine,kuna Consultant wake huyu Mohammed aliyekuwa anamiliki Bar ndani ya hyo hotel maan yule msomali hauzi pombe anaitwa Mihail Kirov mbulgaria ndiye ameikodishiwa sasa hivi,kwa hyo jina lazima aweke jina jipya mkuu!
Hilo jengo linamilikiwa na PPF naona jamaa wa gold crest mwanza Mathias Erasto ameona Arusha ipo potential kubwa huenda ndio maandalizi ya kuipiga solex Ile ya mwanza.Mkuu huyo mzungu ameshindwa kurun hotel imechukuliwa na anaendesha goldcrest mwanza,shida ya hizi nyumba ni rent kubwa kuendesha biashara hapo lazma uwe na mtaji mkubwa
😀😀😀Kuota kitu gani sasa, Mwanza kwa Arusha mtasubiri miaka 200..
Mkuu naona parrot hotel nayo imefunguliwa rasmi ipo near golden rose baada ya kukaa kwa muda mrefu under construction .Acha kumuumiza Slowly bana!!!!
Dada yangu mambo yanayofanyika Arusha sasa hivi Mwanza yalifanyika miaka kumi iliyopita, yaani ni kama kipofu ameona mwezi. Relax Arusha yenu itaendelea tu kwa kiwango chake wala msisweti sana kuilinganisha na the giant Rock city..Kuota kitu gani sasa, Mwanza kwa Arusha mtasubiri miaka 200..
Kumbe ghorofa 14 tu kelele nyiiingi, Mwanza hatunaga promo na vitu vidogo kama hivyo vipo kitambo..Ghorofa 13 ukiweka na kale ka juu inakuwa 14...
Kitambo wapi wakati hata kwenye ramani hampo ikitoka Dar Arusha ndio ina majengo marefu. Jiridhishe mwenyewe hapo List of tallest buildings in Tanzania - WikipediaKumbe ghorofa 14 tu kelele nyiiingi, Mwanza hatunaga promo na vitu vidogo kama hivyo vipo kitambo..
Teh teh.....hiyo mwanza ipi...au unafikir mwanza unaijua wewe peke yako....!Kumbe ghorofa 14 tu kelele nyiiingi, Mwanza hatunaga promo na vitu vidogo kama hivyo vipo kitambo..
Gold crest ya mwanza pia lile jengo ni la ppf!Mkuu huyo mzungu ameshindwa kurun hotel imechukuliwa na anaendesha goldcrest mwanza,shida ya hizi nyumba ni rent kubwa kuendesha biashara hapo lazma uwe na mtaji mkubwa
Gold crest ya mwanza pia lile jengo ni la ppf!Mkuu huyo mzungu ameshindwa kurun hotel imechukuliwa na anaendesha goldcrest mwanza,shida ya hizi nyumba ni rent kubwa kuendesha biashara hapo lazma uwe na mtaji mkubwa
Labda anafikiri tunazungumzia milima na majabali.Teh teh.....hiyo mwanza ipi...au unafikir mwanza unaijua wewe peke yako....!
Na Arusha unafikiri unaijua peke yako.Teh teh.....hiyo mwanza ipi...au unafikir mwanza unaijua wewe peke yako....!
Karibu Capri Point: Rock City:Labda anafikiri tunazungumzia milima na majabali.