East Africa’s Largest University, University of Dodoma

Yap, This is the East Africa’s Largest University, Kenya is also East Africa Country
Mpka wanyama wanajiskia wapo home tu
Screenshot_20191031-174836_Lite~2.jpeg
 
Usijifanye hujaelewa...
Largest kumbe imejaa mapori..
Kwani Nairobi pia Simba si huwa wanavinjari Town mara kibao tu? Whats wrong with That? Nairobi west yote imejaa Nguchiro, Acha ufala
Niletee chuo amabcho kina mapori +wanyama nairobi
 
Our be technical colleges are even bigger than this thing you call Udo what?
 
Kuna Wakenya walikuja kwenye mashindano ya michezo East Africa, ambayo huwa yanafanyika Udom.

Kukawa kuna mechi kati ya St John University na Chuo kikuu fulani cha Kenya nadhani ni Machakos university(sikumbuki vizuri jina). Tukawa tunapiga soga na wakenya fulani wakawa wanasema nanukuu "hii chuo yenu ni kubwa sana hata ya Jomo Kenyata ndogo"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom