E fm radio sasa kuingia mikoani

Kifurukutu

JF-Expert Member
Aug 29, 2013
4,641
6,694
“Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) imeipa kibali EFM kwenda mikoani na tunaingia kwenye mikoa tisa. Hiyo ndio habari kubwa ambayo mkurugenzi wa EFM alitaka kuzungumza na wananchi hii leo ni kwamba tumepewa ridhaa ya kwenda kwenye mikoa tisa. Mikoa hiyo ni ifuatayo Mbeya, Tanga, Mwanza, Mtwara, Manyara, Singida, Kigoma Tabora na Kilimanjaro.”


My take
Hii itakua ni pigo kwa clouds fm, kwani E fm walikuwa wanasikika Dar tu na walikuwa wanahenyeshwa na Efm!

Kila la kheri E fm
 
thread ishapostiwa na mtu mwingine alafu jitu lingine linacopy na kupaste kuifanya yake.Jaribu kuwa mbunifu kidogo
-pathetic

alafu mods mpo wapi kwanini mnauruhusu huu uzi wakati kuna mwingine ulishawekwa tayari
 
thread ishapostiwa na mtu mwingine alafu jitu lingine linacopy na kupaste kuifanya yake.Jaribu kuwa mbunifu kidogo
-pathetic

alafu mods mpo wapi kwanini mnauruhusu huu uzi wakati kuna mwingine ulishawekwa tayari
Kelele za nini Clouds lazima chup* ziwabane mtageuka km Tbc mtasikiliza redio yenu na wake zenu
 
Back
Top Bottom